Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Yametimia, muda umeongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi kupiga hata danadana?Sasa tunasubiri panga la wachezaji.
Mugalu
Wawa.....
Mayele noma😀Kimenuka msimbazi View attachment 2245645
Haya ndio maboresho yenye impact tunayo tarajia kuyaonaSasa tunasubiri panga la wachezaji.
Mugalu
Wawa
Kagere
Lwanga
Dilunga
Boko
Mhilu
Gadiel
OUT
George Mpole
IN
Ongeza bwalya😁😁😁😁Sasa tunasubiri panga la wachezaji.
Mugalu
Wawa
Kagere
Lwanga
Dilunga
Boko
Mhilu
Gadiel
OUT
George Mpole
IN
makolo bana sometimes ua mnajifariji kipumbavu kabisanabi kuanzia Sudan simba walimtaka ila alikuwa hajamaliza mkataba wake ,ile anamaliza simba wameshamchukua Gomes ,ndo maana Nabi alipofika Dar anahojiwa nawaandishi anasema Simba is the best club ,akaanza kukumbushwa upo Yanga. Hata hizi holidays alizokuwa anaenda wanasema anakwepa kurenew kwa sababu kuna ishu ya chini chini na Simba.
Kwa nini hamtaki wazawa wapewe timu kubwa hiziHalafu matola anabaki,kichekesho!