cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wataenda DTB moto watakao uwasha tutajuta
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hao wataenda DTB moto watakao uwasha tutajuta
ukikichambua kikosi kilichopo simba licha ya wachezaji kudrop viwango sio kikosi chakushindwa kucheza at least mpira wakueleweka pablo nabutuabutua yake hatufai...tena simba wasirudie kutuletea coach ambae aweki mpira chini,simba inastyle yauchezaji wake sio kupigapiga tu mipira mbele....hata falsafa ya pablo haieleweki toka kakabidhiwa timu yeye hana hata first eleven...Hivi kwa kikosi alichokikuta Pablo mlitegemea maajabu gani?
VIKAO vya siku mbili ndani ya Simba vimeamua rasmi kuachana na kocha mkuu Pablo Franco kwa kile kilichodaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo.
Simba imepoteza mataji yake yote mawili la Ligi Kuu Bara ambalo walilitwaa kwa mara nne mfululizo pamoja na taji la Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) walilobeba mara mbili mfululizo.
Habari za kikao hicho zilinaswa na Mwanaspoti kwamba wamefikia makubaliano hayo na tayari Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez alimwandikia barua ya kuvunja mkataba kocha huyo aliyomtumia jana jioni.
Pablo amekiri kupokea barua hiyo na kwamba alimrudishia bosi wake kwani kuna vitu ndani ya barua hiyo vilikuwa havijakaa sawa hivyo anachosubiri sasa ni Barbara kufanya marekebisho hayo ili asaini.
"Ni kweli tulikuwa na kikao na mabosi wangu na kuna mambo sikukubaliana nayo hususani upande wa usajili, jioni CEO alinitumia barua ya kuvunja mkataba lakini ilikuwa na upungufu hivyo sikusaini nilimrudishia ili arekebishe.
"Sikupanga kuondoka Simba kwani tayari nilikuwa nimeikatia Visa familia yangu ya kuishi hapa kwa mwaka mmoja, hivyo nasubiri akirekebisha hiyo barua na kuyaweka yale niliyoyapendekeza ambayo ni maslahi basi nitasaini kuvunja mkataba," amesema Pablo ambaye aliingia Simba Novemba mwaka jana.
Credit, MwanaSpoti
Updates,
View attachment 2245636 Matola miaka nenda miaka rudi anabaki hapo klabuni huku makocha wakuu wakiepa na kumuacha. Au kuna mbinu za siri huyu jamaa anazifahamu nini.
Ushawahi kupiga hata danadana?
Aise wazungu wanakula batabsana wakija africa...mihela yote hiyo. Ila utakuta mzawa wanamkopa🤣🤣🤣🤣🤣Simba SC head coach Pablo Franco Martín has officially part ways with the Tanzanian club on a mutual agreement.
African Sports Today can confirm that Pablo is currently in negotiations with Amazulu FC 🇿🇦 and Raja Casablanca 🇲🇦 with Raja seems like the most preferred move.
Raja have offered the former Getafe coach $500,000 annual salary with other benefits while Amazulu is offering $25,000 Net monthly salary with a house, club car (with monthly fuel) and 2 business class tickets return (home) per season.
Una hela ya kumwajiri huyu kocha au umeamua kuandika tu kwa kuwa una bandoPablo - OUT,
Pisto Mosimane from AL Ahly - Ndani ya Msimbazi na Wanawe Percy Tau na Luis
Inawezekana ni tetesi za kweli, maana kwenye mechi zote za Simba (za kwa Mkapa) NABI anakuwepo uwanjani, anaangalia sehemu ya kufanyia marekebisho.nabi kuanzia Sudan simba walimtaka ila alikuwa hajamaliza mkataba wake ,ile anamaliza simba wameshamchukua Gomes ,ndo maana Nabi alipofika Dar anahojiwa nawaandishi anasema Simba is the best club ,akaanza kukumbushwa upo Yanga. Hata hizi holidays alizokuwa anaenda wanasema anakwepa kurenew kwa sababu kuna ishu ya chini chini na Simba.
Yaani aache kufundisha wachezaji wa maana kina Dr Aucho akafundishe kina Kibu na MzamiruKama Nabi mpaka sasa hajarenew mkataba Yanga kazi wanayo,watapigwa kweupe
Pablo - OUT,
Pisto Mosimane from AL Ahly - Ndani ya Msimbazi na Wanawe Percy Tau na Luis
Acha uwongo, huyu Pisto wanamtaka psgPablo - OUT,
Pisto Mosimane from AL Ahly - Ndani ya Msimbazi na Wanawe Percy Tau na Luis
Utashangaa bocco anakwepo hapo msimu ujao ,alaf et Wana malengo ya kufika mbali kimataifa[emoji23][emoji23][emoji23]Sasa tunasubiri panga la wachezaji.
Mugalu
Wawa
Kagere
Lwanga
Dilunga
Boko
Mhilu
Gadiel
OUT
George Mpole
IN
Ni jambo jema. Kwa maana hajafikia malengo ya timu kwa asilimia 80 kafikia tu 20% ya malengo aliyopewa. Ila isiishie tu kwa kocha warudi kwa wachezaji mwisho wa msimu waache wale wazew wote kuanzia:-VIKAO vya siku mbili ndani ya Simba vimeamua rasmi kuachana na kocha mkuu Pablo Franco kwa kile kilichodaiwa ni kutoridhishwa na mwenendo wa timu hiyo.
Simba imepoteza mataji yake yote mawili la Ligi Kuu Bara ambalo walilitwaa kwa mara nne mfululizo pamoja na taji la Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) walilobeba mara mbili mfululizo.
Habari za kikao hicho zilinaswa na Mwanaspoti kwamba wamefikia makubaliano hayo na tayari Mtendaji Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez alimwandikia barua ya kuvunja mkataba kocha huyo aliyomtumia jana jioni.
Pablo amekiri kupokea barua hiyo na kwamba alimrudishia bosi wake kwani kuna vitu ndani ya barua hiyo vilikuwa havijakaa sawa hivyo anachosubiri sasa ni Barbara kufanya marekebisho hayo ili asaini.
"Ni kweli tulikuwa na kikao na mabosi wangu na kuna mambo sikukubaliana nayo hususani upande wa usajili, jioni CEO alinitumia barua ya kuvunja mkataba lakini ilikuwa na upungufu hivyo sikusaini nilimrudishia ili arekebishe.
"Sikupanga kuondoka Simba kwani tayari nilikuwa nimeikatia Visa familia yangu ya kuishi hapa kwa mwaka mmoja, hivyo nasubiri akirekebisha hiyo barua na kuyaweka yale niliyoyapendekeza ambayo ni maslahi basi nitasaini kuvunja mkataba," amesema Pablo ambaye aliingia Simba Novemba mwaka jana.
Credit, MwanaSpoti
Updates,
View attachment 2245636
Acha utani yaani psg wamsajili pitso..? Labda psg ya buzaAcha uwongo, huyu Pisto wanamtaka psg
Acha hizo kwani matola shida yake nini hadi afukuzwe .Kamati ya Usajili yatakiwa iondolewe maana wamehusika kwa sehemu kubwa na huu upuuzi
Wasimuache Matola, huyu ndiye Nyoka kwenye Timu
yaani kocha wa Real Madrid anafurushwa na Simba ... nilidhani Pablo ndiye angewafurusha Simba 😀😀Huu sasa ni utani! Juzi tu alipewa kazi kutokana na CV yake kuwa kubwa na iliyo shiba! Kocha aliyefundisha Real Madrid na Getafe! Halafu leo anafurushwa!
Ndio maana hatufiki popote ,yaan unaogopa kufanya mabadiriko eti kisa watakiwasha sana.brand ya simba ni kitu kingine ndugu hata wakikiwasha huko ila hawawez kuwa na madhara kwa simbaHao wataenda DTB moto watakao uwasha tutajuta