Paccome, Aucho na Yao kukosekana ni jambo la bahati mbaya sana

Paccome, Aucho na Yao kukosekana ni jambo la bahati mbaya sana

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kukosekana kwa hao wachezaji kunanipunguzia sana matumaini ya Yanga kufanyanya vizuri na ninaona kama Yanga wana bahati mbaya ingawa bado wanaweza kufanya vizuri kwa kikosi kilichotangazwa kuanza katika mechi ya leo.

Nimekumbuka ile fainali ya kombe la CAF ya mwaka jana ambapo Aucho tena alikosekana kutokana na kuwa na kadi 3 za njano.

Anyway, wacha tusubiri uzuri hamasa iko juu kuanzia kwa wachezaji mpaka mashabiki.
 
Mkuu
Tujifunze maana ya kikosi kipana

Yanga hatumtegemei mtu mmoja wengine watacheza ukiwa haupo

Kwanza hao sidhani hata wamepona vizuri
 
Acheni ujinga enyi wenye imani haba, timu yetu inaitwa Yanga na sio pacome Yao na Aucho.

Ni ujinga kusema tutashindwa kwa sababu ya kukosekana hao wahuni 3

Yanga ni timu kubwa isiyotegemea wahuni 3 kuwapa ushindi.
 
Acheni ujinga enyi wenye imani haba, timu yetu inaitwa Yanga na sio pacome Yao na Aucho.

Ni ujinga kusema tutashindwa kwa sababu ya kukosekana hao wahuni 3

Yanga ni timu kubwa isiyotegemea wahuni 3 kuwapa ushindi.
Hujui mpira.
 
Yani hao hata wangekuwepo wote pamoja na yule kiongozi wa yanga mwenye tumbo kubwa akae golini bado Mamelodi hawezi kuwaacha
 
Kukosekana kwa hao wachezaji kunanipunguzia sana matumaini ya Yanga kufanyanya vizuri na ninaona kama Yanga wana bahati mbaya ingawa bado wanaweza kufanya vizuri kwa kikosi kilichotangazwa kuanza katika mechi ya leo.

Nimekumbuka ile fainali ya kombe la CAF ya mwaka jana ambapo Aucho tena alikoisekana kutokana na kuwa na kadi 3 za njano.

Anyway, wacha tusubiri uzuri hamasa iko juu kuanzia kwa wachezaji mpaka mashabiki,
mashabiki gani ....Hao vibaka wa temeka waliojaza uwanja kwa free entry??
 
Kukosekana kwa hao wachezaji kunanipunguzia sana matumaini ya Yanga kufanyanya vizuri na ninaona kama Yanga wana bahati mbaya ingawa bado wanaweza kufanya vizuri kwa kikosi kilichotangazwa kuanza katika mechi ya leo.

Nimekumbuka ile fainali ya kombe la CAF ya mwaka jana ambapo Aucho tena alikosekana kutokana na kuwa na kadi 3 za njano.

Anyway, wacha tusubiri uzuri hamasa iko juu kuanzia kwa wachezaji mpaka mashabiki.
MBONA WAMEONEKANA UWANJANI AU ULITAKA WAONEKANE WAPI
 
Back
Top Bottom