Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hujui mpira.Acheni ujinga enyi wenye imani haba, timu yetu inaitwa Yanga na sio pacome Yao na Aucho.
Ni ujinga kusema tutashindwa kwa sababu ya kukosekana hao wahuni 3
Yanga ni timu kubwa isiyotegemea wahuni 3 kuwapa ushindi.
eti wahuni watatu ππAcheni ujinga enyi wenye imani haba, timu yetu inaitwa Yanga na sio pacome Yao na Aucho.
Ni ujinga kusema tutashindwa kwa sababu ya kukosekana hao wahuni 3
Yanga ni timu kubwa isiyotegemea wahuni 3 kuwapa ushindi.
mashabiki gani ....Hao vibaka wa temeka waliojaza uwanja kwa free entry??Kukosekana kwa hao wachezaji kunanipunguzia sana matumaini ya Yanga kufanyanya vizuri na ninaona kama Yanga wana bahati mbaya ingawa bado wanaweza kufanya vizuri kwa kikosi kilichotangazwa kuanza katika mechi ya leo.
Nimekumbuka ile fainali ya kombe la CAF ya mwaka jana ambapo Aucho tena alikoisekana kutokana na kuwa na kadi 3 za njano.
Anyway, wacha tusubiri uzuri hamasa iko juu kuanzia kwa wachezaji mpaka mashabiki,
Wapo injured kwa sababu ya viuno kuregezwa na mashangazi, kwa nini wasiitwe wahuni?eti wahuni watatu ππ
sawasawa πWapo injured kwa sababu ya viuno kuregezwa na mashangazi, kwa nini wasiitwe wahuni?
Yanga ana zaidi ya mtihani maana si kwa potential players wote hao daaah...[emoji2960]Aiseee key players wamekosekana hii ni mbaya
MBONA WAMEONEKANA UWANJANI AU ULITAKA WAONEKANE WAPIKukosekana kwa hao wachezaji kunanipunguzia sana matumaini ya Yanga kufanyanya vizuri na ninaona kama Yanga wana bahati mbaya ingawa bado wanaweza kufanya vizuri kwa kikosi kilichotangazwa kuanza katika mechi ya leo.
Nimekumbuka ile fainali ya kombe la CAF ya mwaka jana ambapo Aucho tena alikosekana kutokana na kuwa na kadi 3 za njano.
Anyway, wacha tusubiri uzuri hamasa iko juu kuanzia kwa wachezaji mpaka mashabiki.
Mna mdomo sanaYani hao hata wangekuwepo wote pamoja na yule kiongozi wa yanga mwenye tumbo kubwa akae golini bado Mamelodi hawezi kuwaacha