Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Huyu anaonyesha yeye ni mzoefu zaidi ya huyu marehem hebu chekini hapa linavyoweka mapozi duh hawa watu wanakuwa hawaoni haya na mambo ya kimombasa wanayofanya dah
 
Nimeona Alberto Msando kaandika thtough he he learnt not to Judge, and they agreed to disagree.. am wondering.... Ni dhambi kumhukumu mtu lakini daaa!!! Japo hakuna dhambi kubwa wala ndogo, ila Dhambi zingine zinatisha sana, nikikumbuka Mungu alichowafanya Sodoma na Gomora.. Mungu tusamehe sana..
 
Nimependa jibu lako, binadamu tunajisahau tunajua tu kunyoonyeshea wenzetu vidole. May he RIP, nilikuwa napenda alivyokuwa anapamba kwenye shughuli.
Wewe ni me?kama ndio basi sio mwenzetu
 
View attachment 328394 Huyu anaonyesha yeye ni mzoefu zaidi ya huyu marehem hebu chekini hapa linavyoweka mapozi duh hawa watu wanakuwa hawaoni haya na mambo ya kimombasa wanayofanya dah
Sijui amewakosea nini huyu mtu, Nadhani ana vitu ambavyo ametupita wengi wetu ndo mana mnajenga chuki kufikia kumpa matusi makubwa namna hii, mana kama issue ni hiyo kupenda kujisifu au kujiamini kupitiliza ni swala la kawaida sana, lakin nahisi watu wako serious sana kufanya chuki juu yake, kusema ukweli mie huyu kaka ana kasoro zake ila ana mazuri yake pia katika kuelimisha au kutoa muongozo kwa jamii yeye si malaika, ila si vyema kumvunjia heshima kiasi hichi.
 
Point of correction huyu si kaka kama wewe una umri chini ya miaka 50yrs otherwise yeye nibaba kwa mtu mwenye 40 yrs and below na ni babu kwa mtu mwenye under 20yrs so pls mpe heshima yake lemutuz
 
Sisi ni wake na kwake ni marejeo.

Wote tutarudi kungoja siku ya hesabu na amali zetu za leo ndiyo zina matter.

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
Mbona kuna uzi mmoja jamaa alileta akieleza alivyo fiwa na ndugu zake kwa sababu ya ukimwi ,ukaishia kuleta kashfa zako ,vipi kwa hili pusti ndio unaleta busara za kipuuzi
 
Kupunguza utumbo au tumbo? Kama utumbo it sounds so dangerous to me.

Wanapunguza tumbo, kitumbo kinakuwa kidogo kama ngumi ya mtoto, vitonge viwili tu ushashiba, ndo unakonda hivo.
 
ni mwanaume au mwanamke mana sijawahi ht kumsikia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…