Paco Decor amefariki

Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Laana ya allah iwe juu lake kama kafa hali ya kuwa ni shoga
 
Ukiliangalia suala la kuvaa hereni katika upana wake, sijui kwanini kuvaa hereni kunahusishwa na ushoga! Katika tamaduni za baadhi ya makabila Tanzania (wasukuma, wamaasi, wagogo?, n.k.), wanaume uvaa mahereni tena makubwa na usuka pia. Kwa kweli uwa sielewi uvaaji huo kuhusishwa na ushoga.

Ukisema Mungu hakumleta duniani na sikio lilitoboka, je Mungu aliwaleta wanawake na masikio yaliyotoboka duniani? Je, Mungu alituleta duniani na kutuvisha suruali kwa wanaume na sketi/gauni kwa wanawake?

Ushoga ni tabia na hulka za mtu husika. Kwa mtazamo wangu mitindo (ambayo imekuwa defined na mwanadamu na siyo Mungu) haihusiani na ushoga, haswa ukizingatia baadhi ya mitindo hiyo imekuwa sehemu ya utamaduni wa kitanzania na hata kiafrika kwa baadhi ya makabila.
Amelaaniwa yeyote mwenye kufanya hivyo.
 
Kwa picha hizo sina swali, maana nikiuliza ntaleta ugomvi na wenye fani zao. Na wala sina jibu maana ntakuwa namuhukumu.
Mungu amuweke panapostahili.

Nimependa comment yko tuache wenye fani zao lkn kwa staili aliyokaa sijaielewa
 
Kila kifo ni mawaidha.

Alikuwepo duniani na sisi na leo hii ghafla bin vuu hayupo. Amali na matendo yake ndiyo yatakuwa na uzito leo hii. Jee, wewe uliyekuwa hai unafanya nini?

Inna li Llahi wa Inna Ilayhi Rajiun.
alikua shoga mwislam unazungumziaje hilo bibi mdini?
 
Amefia agakhan alilazwa toka ijumaa...sbb ya kifo chake complication za surgery aloifanya US ya kupunguza utumbo ili akondo...inavyoelekea hakufata masharti vizuri...ni hayo tu kwa leo



Sasa anapunguza utumbo halafu anakuja kupigwa msumbenje unategemea nini Mungu anisamehe tu kwa kweli alale kule kwenye majanga
 
pole mr Ommy kwa kumpoteza mke wako mpendwa Haroub
 
Nimetokea kufundishwa na maprofesa wazungu watatu tofauti wanaovaa hereni. Na ni maprofesa bingwa katika fani zao na wanaoheshimika sana katika academics na jamii. Na wana familia zao. Uvaaji wa hereni hauchukuliwi hivyo kote ulaya na marekani. Hauko sahihi ndugu
Utamaduni mkuu. Unakumbuka jaji Mutungi Kenya?
 
Kuna watu wanatokwa povu tu yeye kafa shoga kalaanika atachomwa moto (kama hakutubu) jee wewe? huna dhambi ni msafi?
Moto uleule si ajabu akawa pembeni yako siku ya siku
 
Jamani sasa mmezidisha, hebu mpeni heshima yake yule baba, kwani amewakosea nini Mbona jamaa anaishi maisha yake atakavyo, kumbukeni ana binti mkubwa na ni baba wa mtu kwenda kumuita jina kama hilo ni kumkosea, hata kama ana kasoro zake za kibinadamu. Mumuache baba wa watu jamani si kwa matusi haya, ni BABA WA MTU YULE JAMANI.
Kisu kimechoma kwenye mfupa
 
ifike kipindi tuache unafiki na kumung'unya maneno maana ndio unaotuponza nakuendelea kuharibu jamii yetu, swala la ushoga ni kinyume kabisa na baadili yetu yakiafrika na hata vitabu vitakatfu vinakataza na kusema wazi wazi kua wanaofanya hivyo vitendo hawatouona ufalme wa mungu sasa iweje sisi tumung'unye maneno, ushoga ni laana na niwatu wakutengwa na jamii.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom