Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
ok mkuu nimejifunza kitu kwako.. kumbe ally kiba nishoga, diamond ni shoga, mbunge wa mikumi professa j ni shoga aka choko, m.r blue ni shoga, davido ni shoga,tupac alikua shoga, baraka de prince ni shoga,dj ommy crazy ni shoga, jux ni shoga,juma nature ni shoga...hahah kweli tanzania tuna mashoga wengi tunahitaji maombi mazito
 
Mkuu, kuna kuvaa hereni na kuvaa hereni za kike. Ni sawa na kuvaa nguo na kuvaa sketi. Sorry, no excuse!
Hizo categorisations zimekuwa defined na binadamu tu! Wala siyo msahafu! Maana unachokisema kuvaa sketi, Scotland wanaume uvaa vazi linalofanana na sketi, na huo ni utamaduni wao. Hivyo katika utamaduni wao, ni sawa kabisa kwa mwanaume (occasionally) kuvaa 'sketi'.
Ni binadamu tu tulio-categorise suruali kuvaliwa na mwanaume na sketi na mwanamke. Hili haliendani na Mungu kama baadhi wanavyolisema. Ndiyo maana categorisations nazo zina-evolve haswa kwa sehemu nyingi kuona sawa kwa mwanamke kuvaa suruali. Haikuwa hivyo katika karne za zamani.
 
Mwanaume rijali hatoboi sikio..unless uwe hauna dini ndo utaona kila kitu ni sawa kwako...
Dini yenyewe umeletewa. Ebu niandikie mistari iliyo katika biblia ama koran inayokataza uvaaji wa hereni. Dini umeletewa ikija na tamaduni za waliokuletea hiyo dini na waliokuletea hiyo dini wakikuaminisha kwamba tamaduni walizozikuta siyo nzuri mbele za Mungu. Nawe ukasema Amina. Ebu jaribu kufikirisha kidogo ubongo wake.
 
Acha kutetea upu.mbavu nawewe utakuwa shoga ndo mnaotudhalilisha wanaume rijali.unatetea mwanaume aliyekamilika kuvaa hereni?kwanza wewe imani gani?
Hiyo avatar yako tu inatoa jibu na picha ya ulichokiandika.
 


Umemsahau kumtaja Le Mutuz mkuu
 
Kuvaa hereni ni kujifananisha na Mwanamke
Kama wewe ni mwanaume halisi na unakubali kuwa ni mwanaume huwezi vaa hereni kamwe
Kuvaa nguo zakubana pia ni ukike kike

Huyu alitaka awe mwanamke
 
Najisikia sana kinyaa kwa hii tabia, lakini mimi ni nani hadi nihukumu? Maana hata kusema uongo ni dhambi pia.[/QUOTE]
Una hekhma sana mkuu,tusihukumu maana hilo ni funzo kwa sisi tulobaki but kama alikuwa shoga hiyo ni tabia mbaya,dhambi lakini pia kosa kwa sheria za Tanzania.Naomba mnitajie mashoga wote wa Dar es salaam,muweke hapa picha zao na namba zao za simu niwatafute niwalete hapa mahakamani sheria ichukue mkondo wake!Poleni sana wafiwa,kila jambo linatokea kwa sababu!
 

There were men and women in the Bible who wore earrings (Exodus 32:2-3; Numbers 31:50; Judges 8:24; Song of Solomon 1:10-11). The Bible nowhere condemns an earring or earrings in women or men. Some people wonder why earrings are for the most part accepted, but other body piercings are considered questionable at best. This is a good point. The whole issue of piercings is not one of β€œDoes the Bible forbid this?” but rather β€œIs this something I should do?”

While there is no specific counsel in the Bible about earrings, Paul had general things to say about jewelry when he advised Timothy on worship within the local church: β€œI also want women to dress modestly, with decency and propriety, not with braided hair or gold or pearls or expensive clothes, but with good deeds, appropriate for women who profess to worship God” (1 Timothy 2:9-10). The principle here applies both in and out of church: modesty, decency, propriety and good deeds are the hallmarks of a true Christian in both men and women.

Whether we choose to wear earrings or any other piece of jewelry is a matter of personal conscience. In any case, clearly our responsibility as Christians is to bring honor and glory to the God we profess to love, doing nothing out of vain conceit (Philippians 2:3) and remembering that β€œman looks at the outward appearance, but the LORD looks at the heart" (1 Samuel 16:7).
 
Sijamuelewa huyu mwanamama,
Eti "jamani what happened to him, was he sick?"
Hlf tena "2 days ago I heard he was in ICU, bt ddnt thnk he wuld die"

Sasa alijua kule ICU alienda kupiga selfie?
 
acha kutetea ujinga kuvaa hereni Kama siyo mila ila kwa usharobaro ni UHUNI!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…