Paco Decor amefariki

Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Duh kweli kuna usiri maana kuna wengine wanadai walienda Aga Khan two days before his demise kumtembelea akawaomba wamsalie, sasa na hii ya Thailand tena khaa!!
 
Mmbea wenu mtiifu warumi Heineser,dah hilo jina ngoja niliamini kama litaleta update ambayo iko confirmed kama kweli kafia Thailand au Aga khan jijini
 
Hahahaha..kn vitu vingine muwe mnauliza vzr b4 kupost..hilo jina tu sio lake..NAPITA
 
Innalilah wainaillah rajiun, Mwenyezi Mungu Amsamehe makosa yake na amlaze mahala pema peponi, Mungu ndo anajua Zaidi pakumuweka, ila sisi wanadamu kazi yetu nikumuomba Amsamehe pengine kati yetu ypo mwenye karma nzuri na dua yake ikapokelewa na yeye akasamehewa, Hatuishi nae nyumba moja hatujui dakika za mwisho kabla ya umauti labda aliacha, akatubu akawa amerudi kwa mola wake, sasa ukiendelea kuhukumu unaweza jikua unaingia kwenye dhambi wewe kwa kudhani mpaka anakufa alikufa kwa yale yale, Kuhukumu tumuachie Mwenyewe Mungu, Japo hawa watu mashoga katika Uislam haitakiwa hata kumuangalia mara 2, yani ukishatupa jicho la kwanza ambalo ni la bahati mbaya ambalo lile halina makosa basi unatakiwa ugeuze shingo yako usimwangalie tena, na kama labda unataka kumuangalia kwa mara ya pili labda iwe unataka kwenda kumface na kumueleza anachofanya si kizuri mbele ya Mungu n.k.. bila ya hivyo ni dhambi kumuangalia mara 2 au mara ya 3 hiyo ni kuonyesha kiasi gani Mungu amewalaani watu wale na hayuko radhi nao.
 
Ila ndugu zangu vijana wanaharibika kwa kasi sana tuwe makini na watoto wetu hasa wa kiume jana na mimi nilipata kudukua dukua huko Instergram Nilichokiona ni siri yangu.
hebu funguka umegundua nini lol, mie mmbea.
 
jana alisafir kwenda thailand, baadae ikatangazwa kafa, hyo atakua kafa kifo cha aibu ndio maana wanaficha, sasa sijui kauliwa au vipi, ila jana march 8 alikua thailand binamu, huu ubuyu mtamu hatari, na kila ukiuliza watu sababu ya kifo chake hawakujibu
si nasikia alifanya oparesheni ya kubana tumbo watu wanajua kumchokoza mungu sana
 
ok mkuu nimejifunza kitu kwako.. kumbe ally kiba nishoga, diamond ni shoga, mbunge wa mikumi professa j ni shoga aka choko, m.r blue ni shoga, davido ni shoga,tupac alikua shoga, baraka de prince ni shoga,dj ommy crazy ni shoga, jux ni shoga,juma nature ni shoga...hahah kweli tanzania tuna mashoga wengi tunahitaji maombi mazito
Na wewe ukiwepo.
 
Ni kweli..lakini mashoga hayana Inna Lillahi...na ndo mana yaliangamizwa enzi za Nabii Lut.
Innalilah wainailah rajiun sio dua yakumuombea marehemu, bali ni dua tunatakiwa kuitamka pindi unaposikia habari za msiba hii ina maannisha "Na kwake (Allah) tutarejea."
 
Huyo shoga ni kabila gani? Mbona kama ni shombe shombe hivi, halafu sijui ni muumini wa dini gani.
 
Sema huu uandishi wa mabloger uchwara huu, eti oh my god. Was he sick or what? Juzi tu nasikia alikuwa ICU Leo naambiwa he is dead!
Sasa kama uliambiwa yuko ICU halafu unashangaa kama kafa ghafla, we unafikiri ICU wanapiga disco Kule?
Ha ha ha ha haah ah ah huo mstari wa mwisho umenimaliza.
 
jana alisafir kwenda thailand, baadae ikatangazwa kafa, hyo atakua kafa kifo cha aibu ndio maana wanaficha, sasa sijui kauliwa au vipi, ila jana march 8 alikua thailand binamu, huu ubuyu mtamu hatari, na kila ukiuliza watu sababu ya kifo chake hawakujibu
Mficha maradhi kifo humuumbua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom