Pacome na Baleke acheni tabia ya ulevi, mnaigharimu Yanga Kwa kiwango kibovu

Pacome na Baleke acheni tabia ya ulevi, mnaigharimu Yanga Kwa kiwango kibovu

Ahoua a.k.a Chapombe nasikia anagonga Nyagi kavu kavu, anashushia na Double kick asubuhi anaamkia Bunju
 
Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha lemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal

Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi

Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional

Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu

Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona

Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka

Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar

Eng Hersi Fanya kitu

Yanga bingwa
Mkuuuu hawa walikuwa wanabebwa na mshezni Sao gamondi
Wanakaa bar pamojaa pub pamoja club pamoja

Sijui engn kama alikuwa hajui hili na kwasi mwambie nae.....kuna wanyasa wanawalinda wanaishi maeneo yetuu yaan wanaingia na mademu wakoo njwii mechi siku 2 zijazoooo

Nodhamuu imejshaaa yangaa mkuu engn kawaachia sanaaa
 
Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha lemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal

Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi

Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional

Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu

Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona

Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka

Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar

Eng Hersi Fanya kitu

Yanga bingwa
MKUUU
BALEKE NA PACOME WEEKEND WANAKUJA HADI BAR ZA KAWE ZENYE MALAYA NA WANAONDOKA NA WANAWAKE INASIKITISHA SANA MKUU

NAHISI UONGOZI NAO UNA SHIDAA
 
Maisha ya mcheza soka (professional footballer) ni maisha yanayotakiwa kuwa ya nidhamu ya hali ya juu sana.. Hasa kwenye mambo makubwa matata
1. Vyakula
2. Vilevi
3. Wanawake
Professional footballer yoyote akiendekeza hata kimoja tu kati ya hivyo AMEKWISHA!
Yuko wapi Aziz Ki leo hii
Ronaldo aliwajibu waandishi anatomba mara 1 kwa miezi 3 watu hawakuamini woii endeleen na ujinga wenu
 
Mkuuuu hawa walikuwa wanabebwa na mshezni Sao gamondi
Wanakaa bar pamojaa pub pamoja club pamoja

Sijui engn kama alikuwa hajui hili na kwasi mwambie nae.....kuna wanyasa wanawalinda wanaishi maeneo yetuu yaan wanaingia na mademu wakoo njwii mechi siku 2 zijazoooo

Nodhamuu imejshaaa yangaa mkuu engn kawaachia sanaaa
Tukisema sisi tunaonekana wanafiki eti tunaongopa
 
Shida amechelewa eng alijua walevi alivyoona wanashinda mechi akajua watashinda milele hahahaa chezea utamu
 
"Waiter shusha Bapa mbili, Balimi, na Mo energy ya kuchanganyia nyagi, Huko Bunju sipaelewi kabisa wananiita zee la mikwaju, kufunga hadi penalty"

GRZMtX9XUAoiqQn.jpg
 
Ulevi ni maisha binafsi sawa Ila haukuwa sawa Kwa Pacome kukesha lemente bar pale Masaki na timu ikiwa na mchezo wa Kimataifa dhidi ya Al Hilal

Pacome na Baleke wamekuwa maarufu kwenye Ma bar ya Masaki, Mikocheni na Oystabay, na kutuachia maswali sisi mashabiki wa Yanga hawa vijana wana Fanya mazoezi saa ngapi kujiandaa na michezo ya ligi

Kabla ya mechi ya Al Hilal, Pacome akiwa Lemente Bar aliibiwa simu na dollar 5000, hii ni mbaya Kwa mchezaji professional

Tulitegemea wachezaji wa Kimataifa wawe darasa Kwa vijana wetu wadogo Kwa maisha ya kiuna michezo wao wanaishia bar na kucheza kama hawali chakula na uchovu

Lakini hawa vijana wapo kama hawajui kilichowaleta kujiingiza kwenye Ma bar na makofia Yao wakificha sura zao ila sisi wakachero tumekuwa tukiwaona

Pacome huambatana na Baleke, Aziz ki na Jean Charles Aouhor wa Simba ambaye ni mlevi wa pombe kali hadi mdomo wake umechubuka

Management ya Yanga acheni kuwapa uhuru wachezaji wa Kimataifa ambao mnawalipa mishahara mkubwa na wao wakiwapa kiwango kibovu kwasababu ya uchovu wa mikesha ya 🍺 bar

Eng Hersi Fanya kitu

Yanga bingwa
we kweli zuzubyasni dola 5000 aende nazo baa
 
Back
Top Bottom