Pacome na Baleke acheni tabia ya ulevi, mnaigharimu Yanga Kwa kiwango kibovu

Ahoua a.k.a Chapombe nasikia anagonga Nyagi kavu kavu, anashushia na Double kick asubuhi anaamkia Bunju
 
Mkuuuu hawa walikuwa wanabebwa na mshezni Sao gamondi
Wanakaa bar pamojaa pub pamoja club pamoja

Sijui engn kama alikuwa hajui hili na kwasi mwambie nae.....kuna wanyasa wanawalinda wanaishi maeneo yetuu yaan wanaingia na mademu wakoo njwii mechi siku 2 zijazoooo

Nodhamuu imejshaaa yangaa mkuu engn kawaachia sanaaa
 
MKUUU
BALEKE NA PACOME WEEKEND WANAKUJA HADI BAR ZA KAWE ZENYE MALAYA NA WANAONDOKA NA WANAWAKE INASIKITISHA SANA MKUU

NAHISI UONGOZI NAO UNA SHIDAA
 
Ronaldo aliwajibu waandishi anatomba mara 1 kwa miezi 3 watu hawakuamini woii endeleen na ujinga wenu
 
Tukisema sisi tunaonekana wanafiki eti tunaongopa
 
Shida amechelewa eng alijua walevi alivyoona wanashinda mechi akajua watashinda milele hahahaa chezea utamu
 
"Waiter shusha Bapa mbili, Balimi, na Mo energy ya kuchanganyia nyagi, Huko Bunju sipaelewi kabisa wananiita zee la mikwaju, kufunga hadi penalty"

 
we kweli zuzubyasni dola 5000 aende nazo baa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…