Padre Dkt. Kitima: Aliyemuua Kibao tunamlaani, amefanya kosa baya, ni chukizo kwa Mungu

Padre Dkt. Kitima: Aliyemuua Kibao tunamlaani, amefanya kosa baya, ni chukizo kwa Mungu

Itakuwa ni sawa na kumuelimisha juha km unachokisema huwezi kutoa reference yoyote..sasa umetoka kwenye huruma ya Mungu umeenda kwenye Neema na Baraka ya Mungu..unafahamu hata maana ya maneno haya au unajitamkia tu..! soma kisa cha muuaji wa kwanza Kaini na vile Mungu alisema nae kwa habari ya kitendo alichofanya.
Ni kwa Neema na Baraka za Mungu tumezaliwa. Tumekua na kuendelea kuishi mpaka hivi tulivyo ni kwa upendo wa Mungu tu.

Na kwa huruma ya Mungu tutaendelea kuishi licha ya makosa yetu yote kwa mawazo, kwa maneno, na vitendo.

Hakuna kuna kubabaika, hakuna mbambamba wala mihemko kwenye hilo gentleman ๐Ÿ’
 
anae mbwelambwela ni Fr.Kitima na chadema gentleman๐Ÿ’

kwani Muumba ni kaka yako ndio nibabaike na wewe.๐Ÿคฃ

Mwenyezi Mungu ni wa wote wa mchao. Mshukuru Mungu kwa kila Jambo.
Unahaha mno
Punguza tlaah tlaah
 
Fr kitima tunamvumilia kumsikiliza ili tupate namna ya kumjibu na kumpuuza ingawa wengi wameanza kukwepa humilia zake za siasa za kulalamikia kila kitu bila kutoa suluhisho ๐Ÿ’
Wauaji mnamvumilia Kitima
 
Padre Kitima yuko sahihi kabisa, mauaji hayo yamesababisha chuki kubwa sana kati ya Wananchi wa kawaida ambao ni wapenda haki dhidi ya Serikali na CCM, hususani kuibuka kwa chuki kati ya raia dhidi ya Jeshi la Polisi na TISS ambao kwenye mkasa huu wanashukiwa Moja kwa Moja kuhusika na mauaji hayo ya kinyama.


Kabisa Lina wajibu wa kukemea uovu mbaya kama huo.
Je, wewe binafsi ungejisikiaje endapo kama huyo mzee aliyeuawa kwenye mkasa huu angekuwa baba yako mzazi?
Kwa kuwa kanisa limekemea basi uhalali haupo kisa muuaji mkuu ni muislam.

Tutapiga kampeni nchi nzima kwa kuelezea mauaji yaliyokithiri wakati huu wa SAMIA.
TUNAOMBA WOTE NA MATAIFA YOTE YATUUNGE MKONO KTK HILI
 
Fr kitima tunamvumilia kumsikiliza ili tupate namna ya kumjibu na kumpuuza ingawa wengi wameanza kukwepa humilia zake za siasa za kulalamikia kila kitu bila kutoa suluhisho [emoji205]
Wewe na manyang'au wenzio ndo mnadhani anahumilia ujinga.
Kitima syo size yako.
Size yako ni Baltasar[emoji846][emoji846][emoji846][emoji846]
 
Mtumishi wa Mungu Father Kitima Mungu akubariki na maneno yakp uliyotamka Mungu akayatimize kwa Mkono wake Mtukufu.

Daudi Mfalme na Nabii wa Israel alimlaani Yoabu mwana wa Seruya baada ya kumuua Abneri wa jeshi la Upinzani cha Sauli chini ya Ithiboshebet.


Mungu kwa kinywa cha Saudi alitamka mambo haya.

1.Damu ya Abneri iwe ju yako Yoabu na Uzao wako woote na Ndugu zako woote
2.Katika Familia na uzao aa Seruya kusikose Ukoma( maana yake magonjwa ya kudumu), magonjwa ya akili na sonona.
3. Ktk uzao wa Seruya kusikose Tauni na Njaa( umaskini na kufiliska)

Yoabu alikuja kufariki wakati wa Mfalme Suleiman akipigwa nyundo ya Kichwa kwenye kingo za hekalu alipokimbilia kujificha.

kwa kweli waliomua Ali Kibao na wanaoteka watu wengine na kuwappteza Mungu wa Mbinguni atawalaani.

Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu.

Pia, Soma: Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Padre Kitima alisisitiza kuwa, "Aliyemuua Kibao amefanya kosa baya na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Kama viongozi wa dini, lazima tuseme hili. Tunalaani vikali vitendo vya uhalifu kama hivi."

Aliongeza, "Unafikiri watoto wa Mzee Kibao, aliyeuawa kinyama, wataonana vema na wale wanaohisiwa? Hii imejenga chuki kubwa kati ya familia na jamii. Tunapiga vita, tuna laani, na tunahitaji aliyemuua Kibao atubu kwa Mungu wake au achukuliwe hatua na sheria."

Padre Kitima alisisitiza kuwa, kama viongozi wa dini, ni jukumu lao kutoa ujumbe wa haki na amani, na kuonya dhidi ya vitendo vya kinyama vinavyovuruga jamii na kuleta machafuko.
Soma:
 
Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu.

Pia, Soma: Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Padre Kitima alisisitiza kuwa, "Aliyemuua Kibao amefanya kosa baya na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Kama viongozi wa dini, lazima tuseme hili. Tunalaani vikali vitendo vya uhalifu kama hivi."

Aliongeza, "Unafikiri watoto wa Mzee Kibao, aliyeuawa kinyama, wataonana vema na wale wanaohisiwa? Hii imejenga chuki kubwa kati ya familia na jamii. Tunapiga vita, tuna laani, na tunahitaji aliyemuua Kibao atubu kwa Mungu wake au achukuliwe hatua na sheria."

Padre Kitima alisisitiza kuwa, kama viongozi wa dini, ni jukumu lao kutoa ujumbe wa haki na amani, na kuonya dhidi ya vitendo vya kinyama vinavyovuruga jamii na kuleta machafuko.
Soma:
kiukweli huyu Father Kitima ni Katibu Mkuu wa TEC mwanaharakati๏ผŒkauli hii ni ramli chonganoshi๏ผŒ Wakristu hawaruhusiwi kuhukumu na kulaani Tuacheni ramli chonganishi: Tusihukumu tusije tukahukumiwa. Karma ndio pekee hutoa hukumu ya haki hapa duniani!

Hata kule Tanga waliposoma albadir niliwaeleza Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
p
 
Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu.

Pia, Soma: Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Padre Kitima alisisitiza kuwa, "Aliyemuua Kibao amefanya kosa baya na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Kama viongozi wa dini, lazima tuseme hili. Tunalaani vikali vitendo vya uhalifu kama hivi."

Aliongeza, "Unafikiri watoto wa Mzee Kibao, aliyeuawa kinyama, wataonana vema na wale wanaohisiwa? Hii imejenga chuki kubwa kati ya familia na jamii. Tunapiga vita, tuna laani, na tunahitaji aliyemuua Kibao atubu kwa Mungu wake au achukuliwe hatua na sheria."

Padre Kitima alisisitiza kuwa, kama viongozi wa dini, ni jukumu lao kutoa ujumbe wa haki na amani, na kuonya dhidi ya vitendo vya kinyama vinavyovuruga jamii na kuleta machafuko.
Soma:
Hawa Wakatoliki mimi hunipa shida moja tu...
Wakati wa Magufuli hawakuwahi kuongea hivi. Chuki hizi ni za kidini..

Hii si sawa kabisa..kabisaa.
Huu ni UNAA...na lolote baya liwakute.
 
Kama kanisa inafaa kuiombea Neema na Baraka za Mungu familia ya Mzee Kibao..

Lakin zaid sana kumuombea huruma ya Mungu muuaji wa Mzee Kibao.

Mengine nadhani sio wajibu wa kanisa bali inaweza kua uchochezi zaidi ๐Ÿ’
UKo sawa kiongozi wa kiroho wafanye maombi kubadili hali hiyo sio kuvimba macho kama sisi wenye dhambi nyingi
 
Kama kanisa inafaa kuiombea Neema na Baraka za Mungu familia ya Mzee Kibao..

Lakin zaid sana kumuombea huruma ya Mungu muuaji wa Mzee Kibao.

Mengine nadhani sio wajibu wa kanisa bali inaweza kua uchochezi zaidi ๐Ÿ’
Hakuna uchochezi hata kidogo. Kazi ya viongozi wa Kanisa siyo kuwaombea waovu bali kuwafundisha wanadamu ni mambo gani ni chukizo kwa Mungu. Wale wanaotubu na kuomba msamaha wa dhati, watumishi wa Mungu huwafanyia ibada ya upatanisho.

Kazi ya viongozi wa dini ni kufundisha, kuonya na kupatanisha. Msamaha siku zote upo kwa anayeomba msamaha. Waliomwua Kibao wameomva msamaha? Waliowateka wanaomkosoa Rais wameomva msamaha? Mbona wanaendeleza tu uovu wao? Hujasikia wanavyoharibu mchakato wa uchaguzi?
 
Wewe lazima utakuwa punguani!!

Walioandika waraka mkali kabisa wa kwaresma, wakilaani matukio ya utekaji na kushambuliwa Lisu, wakiituhumu moja kwa moja Serikali ya Magufuli walikuwa ni washia?
Hawa Wakatoliki mimi hunipa shida moja tu...
Wakati wa Magufuli hawakuwahi kuongea hivi. Chuki hizi ni za kidini..

Hii si sawa kabisa..kabisaa.
Huu ni UNAA...na lolote baya liwakute.
 
Aliyemuua atubu la sivyo atapata madhara makubwa sana baadae.Chawa tunawasihi mwambienu huyo bosi wenu muuaji atubu haraka sana ili Asimchukize Mungu.
 
Padre Dkt. Charles Kitima, Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC), ametoa kauli nzito akisema kuwa viongozi wa dini lazima waonyeshe wazi kwamba aliyehusika katika mauaji ya Ally Mohamed Kibao amefanya kosa kubwa na ni laana kwa Mwenyezi Mungu.

Pia, Soma: Dar: Ali Mohamed Kibao, kiongozi wa CHADEMA auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana

Akizungumza kuhusu tukio hilo, Padre Kitima alisisitiza kuwa, "Aliyemuua Kibao amefanya kosa baya na ni laana kwa Mwenyezi Mungu. Kama viongozi wa dini, lazima tuseme hili. Tunalaani vikali vitendo vya uhalifu kama hivi."

Aliongeza, "Unafikiri watoto wa Mzee Kibao, aliyeuawa kinyama, wataonana vema na wale wanaohisiwa? Hii imejenga chuki kubwa kati ya familia na jamii. Tunapiga vita, tuna laani, na tunahitaji aliyemuua Kibao atubu kwa Mungu wake au achukuliwe hatua na sheria."

Padre Kitima alisisitiza kuwa, kama viongozi wa dini, ni jukumu lao kutoa ujumbe wa haki na amani, na kuonya dhidi ya vitendo vya kinyama vinavyovuruga jamii na kuleta machafuko.
Soma:
Mashetani wanaamini eti hakuna Mungu kwenye Siasa ! ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ™„
 
Hakuna uchochezi hata kidogo. Kazi ya viongozi wa Kanisa siyo kuwaombea waovu bali kuwafundisha wanadamu ni mambo gani ni chukizo kwa Mungu. Wale wanaotubu na kuomba msamaha wa dhati, watumishi wa Mungu huwafanyia ibada ya upatanisho.

Kazi ya viongozi wa dini ni kufundisha, kuonya na kupatanisha. Msamaha siku zote upo kwa anayeomba msamaha. Waliomwua Kibao wameomva msamaha? Waliowateka wanaomkosoa Rais wameomva msamaha? Mbona wanaendeleza tu uovu wao? Hujasikia wanavyoharibu mchakato wa uchaguzi?
sasa Fr.Kitima anafundisha au anapiga mayowe tu kama wengine walivykua wakipayukapayuka ili waonewe huruma?

Infact,
waaamini wengi wanamvumilia tu kumskiliza ili hatimae wamjibu kwa ufasaha baadae, but kanisa katoliki huwa halipayukipayuki kama afanyavyo Fr.Kitima.

Ni muhimu zaidi kufanya upatanisho na Mungu mwenyewe, ikiwa unahitaji huruma yake kwa makosa, uliyotenda kuliko kudanganyana na huyo kiongozi wa dini mpiga siasa kwenye mimbari za kanisa ๐Ÿ’
 
Back
Top Bottom