Kuna muda wakristo wa tz wanaaminishana eti kanisa liko juu ya serikaliNi kweli lakini unawakumbuka wale maaskofu 20 wa kule kwa Tshikedi? Walizungumza, Kabila hakuchukua round!
Sisi wengi tulidhani nguvu yao iko hivyo hata huku kwetu....kumbuka jeshi ni loyal tayari, sasa kwa upuuzi unaoendelea, nani mwingine wa kuokoa jahazi?
Watoe kauli ipi ikiwa mapadri wanauawa hukohuko kanisani na hakuna kesi hadi leo?Nyie juzi mmeua msanii Mandojo kanisani kwenu mkiwa na majoho, biblia, mikate na wine, mbona hamjatoa kauli?
Sexless neno Utashi au Conscience ne kitu kikubwa sana, na ndiyo kinatenganisha binadamu na mnyama. Why people behave the way they behave. Mpe mbwa constitution, CCM ni kama wanyama hawana utashi. Hata tukija na katiba gani kama ni CCM mambo yatakuwa vile vileTEC washakuwa maaachawa wa mama. Katibu TEC anasema haoni umuhimu wa katiba mpya. Sababu zake eti hata kama katiba mpya itapatikana haitasaidia chochote kama utashi hakuna.
Kaongea utumbo sana huyu katibu wa TEC.
Hivi hajui kuwa katiba bora huwa na mifumo bora ya kujilinda? Katiba bora inaimarisha uhuru wa mihimili 3 na hivyo kufanya kazi ya check and balance ipasavyo. Katiba bora haichezewi hovyo.
Bakwata gani? Hawa wenye elimu ya madrasa?Ni lini BAKWATA itatotoa tamko kama hili?
Hate shetani ana vitendo pia ndio maana ulimwengu una wema na uovuTEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.
Umesahau?
Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
Huelewi maana ya dini na siasa, ujinga huu ndio mtaji mkubwa wa watawalaKanisa sio chama cha siasa.
Hii kazi ya kuiwajibisha serikali tufanye sisi wananchi sio makanisa wala misikiti kazi zao sio harakati za siasa.
Ni mbaya dini zikitawala siasa za nchi.
TEC haijatoa hilo Tamko bali limetolewa na Padre Kitima !!Ni lini BAKWATA itatotoa tamko kama hili?
Naunga mkono hojaBado wanadeal na wake wanne wanne! Si rahisi.
You nailed it 🙌🙏🙏Kwamba waalitakiwa kufanya nini? Kuna falsafa inasema hivi: "An army of sheep led by a lion is better than an army of lions led by a sheep. This undescore the importance of subjects to support strong leaders who choose to take risk to lead them. Kama hawataungwa mkono kwa sababu mbali mbali hawapaswi kulaumiwa hata kidogo. Tatizo linakuja kwamba mara nyingi hoja yenye mashiko ambayo inafaa kuungwa mkono na watu wengi au watu wote kwa maslahi ya wengi hudandiwa na wanapropaganda kwa kuhamisha mjadala kuanza kujadili watu kwa misingi mbali mbali ikiwemo histora, itikadi, dini hali ya maisha n.k.!! Na katika hili Chama Tawala kimefanikisha kwa kiasi kikubwa, Kasome kitu kinachoitwa adhominem fallacy. Kesho utakuta watu wanajadili "Maaskofu wanamkosoa Rais Kwakua ni mwislamu" Kesho utaskia "Kwa sababu ni Mzanzibari' Badala ya mjadala kujikita katika hali halisi ya Maasai Cummunity and challenges mjadala utahama na ajenda kushahulika!!! uswalaumu they are playing their part to the marked limit that they cant cross or go bryond. iwapi nafasi yako na wewe?
Asante wewe unae elewa.Huelewi maana ya dini na siasa, ujinga huu ndio mtaji mkubwa wa watawala
Kabisa unataka kuongelea haya mambo akagombee ubunge au mwakilishi halali wa watu kwa sasa hana mamlaka ya kumsemea yoyote wabaki na mambo ya dini tu, sio unavaa joho la kidini kujilinda huku unafanya uharakati wa kisiasa.Kanisa sio chama cha siasa.
Hii kazi ya kuiwajibisha serikali tufanye sisi wananchi sio makanisa wala misikiti kazi zao sio harakati za siasa.
Ni mbaya dini zikitawala siasa za nchi.
Ukweli serikali hii ni ovu haswa inafanya mambo ya ajabu snKatibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoriki Tanzania Daktari wa Falsafa na Padre ndugu Kitima amesema si haki na ni udhalilishaji wa wazi wanafanyiwa Wamasai wa NGORONGORO kwa kunyimwa haki zao.
"....leo hii tunapozungumza ndugu zetu Wamasai wa kule NGORONGORO wanatuma ujumbe mbaya wenye twasira hasi Kimataifa. Unapowaeleza ni hiari yao kubaki NGORONGORO halafu ukiwanyima haki zao za msingi huo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu! Jiulize kwa walichokifanya leo huko Duniani waelevu wanatufikiriaje!?" Amehoji Kiongozi huyo mtendaji wa TEC.
Chanzo: Jambo TV
Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
Sahivi Rais ni muislamu hawana habari tenaNi lini BAKWATA itatotoa tamko kama hili?
mtamsingizia mpaka liniA
liyemwondoa duniani.
Tumlaumu nyerere ndiye muanzilishiNi kosa kubwa huwa linafanyika.
Mimi haya mambo siyataki kabisa nayafahamu madhara yake.
Imani ni kitu kibaya tena Afrika kwa waafrika elimu na matumizi ya akili yapo chini ni hatari.
Wao wabaki makanisani na misikitini kazi ya kuiwajibisha serikali tuachiwe sisi wananchi kama wanataka kuungana nasi wavue kanzu na majoho waje kama wananchi wa kawaida sio viongozi wala taasisi fulani ya kidini.
Dini ikae mbali kabisa na siasa za nchi kuna madhara makubwa ikisogezwa ni rahisi kuleta mpasuko wa hatari.
Sexless neno Utashi au Conscience ne kitu kikubwa sana, na ndiyo kinatenganisha binadamu na mnyama. Why people behave the way they behave. Mpe mbwa constitution, CCM ni kama wanyama hawana utashi. Hata tukija na katiba gani kama ni CCM mambo yatakuwa vile vile
Siku moja utaehuka; hupo mbali sana na hatua hiyo baada ya kuwa mlevi wa siku nyingi.Kwani haiongelewi bandari ya Ngorongoro hapa?