Padre Kitima: Suala la kuminywa haki za Wamasai wa Ngorongoro si sahihi

Kuna muda wakristo wa tz wanaaminishana eti kanisa liko juu ya serikali
 
Nyie juzi mmeua msanii Mandojo kanisani kwenu mkiwa na majoho, biblia, mikate na wine, mbona hamjatoa kauli?
Watoe kauli ipi ikiwa mapadri wanauawa hukohuko kanisani na hakuna kesi hadi leo?
 
Sexless neno Utashi au Conscience ne kitu kikubwa sana, na ndiyo kinatenganisha binadamu na mnyama. Why people behave the way they behave. Mpe mbwa constitution, CCM ni kama wanyama hawana utashi. Hata tukija na katiba gani kama ni CCM mambo yatakuwa vile vile
 
TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.

Umesahau?

Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
Hate shetani ana vitendo pia ndio maana ulimwengu una wema na uovu
 
NI MBAYA MNO TAASISI ZA KIDINI KUJIUNGA NA WANASIASA NI MBAYA SANA SANA SANA, TEC HAITAMBUI HAKI ZA WANYAMA JUU YA MBUNGA KUZIDIWA NA IDADI YA BINADAMU NA HATIMAYE KUSABABISHA WANYAMA KUHAMA, AU KUSABABISHA KUJIFICHA MBALI, HIVYO WAGENI KUPATA TABU SANA KUWAONA WANYAMA, HUSIKA, WAMASAI HUKO MBUGANI WANAPASWA KUWEPO KAMA STRANGERS, KWA IDADI FULANI, NA SIO KUGEUZA MBUGA ZETU VIJIJI NA MAJIJI, KWANI HATIMAYE WANYAMA WETU WATAKWENDA WAPI?, WAKENYA HUTAMANI SANA MBUGA ZETU ZIFE, KWANINI WAKENYA, MASAI MBUGANI KWAO NI KAMA STRANGERS TU.
 
Kanisa sio chama cha siasa.

Hii kazi ya kuiwajibisha serikali tufanye sisi wananchi sio makanisa wala misikiti kazi zao sio harakati za siasa.

Ni mbaya dini zikitawala siasa za nchi.
Huelewi maana ya dini na siasa, ujinga huu ndio mtaji mkubwa wa watawala
 
You nailed it 🙌🙏🙏
 
Kanisa sio chama cha siasa.

Hii kazi ya kuiwajibisha serikali tufanye sisi wananchi sio makanisa wala misikiti kazi zao sio harakati za siasa.

Ni mbaya dini zikitawala siasa za nchi.
Kabisa unataka kuongelea haya mambo akagombee ubunge au mwakilishi halali wa watu kwa sasa hana mamlaka ya kumsemea yoyote wabaki na mambo ya dini tu, sio unavaa joho la kidini kujilinda huku unafanya uharakati wa kisiasa.
 
Ukweli serikali hii ni ovu haswa inafanya mambo ya ajabu sn
 

..labda ungesisitiza CCM ikae mbali na madhehebu ya Dini ili wasije wakaleta mtafaruku na madhara unayoyazungumzia.

..kama kuna chama kimeonyesha nia uovu ya kuwafuatafuata Watanzania mpaka kwenye nyumba zao za ibada basi ni CCM.
 

..kuna manufaa zaidi, kuwa na Katiba nzuri hata kama hakuna utashi wa kuitekeleza, kuliko kuwa na katiba mbovu, huku watawala wakiisigina.
 
Kwani haiongelewi bandari ya Ngorongoro hapa?
Siku moja utaehuka; hupo mbali sana na hatua hiyo baada ya kuwa mlevi wa siku nyingi.
Hiyo 'anthropology' ndiyo iliyo kudidimiza kabisa, halafu utamlaumu Nyerere juu ya hilo pia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…