Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Gwajima ni shitholeJe, tapeli gwajima atajifukuza mwenyewe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gwajima ni shitholeJe, tapeli gwajima atajifukuza mwenyewe?
Si alishastaafu lakini?Ni Kardinali
Bikra Maria Awaombee? Si alishakufaAisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Alistaafu madaraka ya jimbo kuu la Dar es Salaam, ila bado yeye ni askofu na pia Kardinali. Halafu si kwamba kila anayekuwa askofu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam basi lazima awe Kardinali.Si alishastaafu lakini?
Gwajiboy nae apigwe pangaaa...!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi hii haiwezi ku-Apply na kwa Gwajima pia?
Ya kaisari mpe kaisari, ya Mungu mpe Mungu.
Why aandikiwe yeye kama kiongozi akati ashastaafu?Alistaafu madaraka ya jimbo kuu la Dar es Salaam, ila bado yeye ni askofu na pia Kardinali. Halafu si kwamba kila anayekuwa askofu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam basi lazima awe Kardinali.
Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Usilinganishe Masheikhe na vitu vya kipumbavu. We unaamini aliyeandika barua ameshirikisha ubongo wake mtu hajulikan halipo alaf anagombea, Ameandika barua ya kuacha kazi alaf Ameachishwa upadre anaandikiwa barua ili wawasiliane. Askofu anakosa namba ya Padre wake , anakosa email ya Padre wakeBado Sheikh Majini
Ile ya yule pepo aliyemfukuzia kwa Manyigu kwa lugha ya Kinyakyusa.Gwajima anatumia Biblia ipi?
Huna taarifa kaa kimyaHii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
Ruwaichi sio Cardinal ni askofu mkuu wa jimbo kuu la Dar es Salaam.Hii barua ni ya uongo cardinal pengo Alisha staafu kwa Sasa cardinali ni Rwaichi Kama sijakosea
safi sana kanisa katoliki that's huwa naeshim sana zehebu hili bila kusahaw ndugu zangu waislam ,angilikana na waruteri mungu awabariki na kama aitoshi ni mda muafaka watumishi wote walioenda kutia nia katika mjimbo nao watimuliwe wakatumikie siasa maana kuwaacha mnaenda kuingiza tahasisi zetu kwenye siasa ,watimuliwe tu ili wajipange vizuri kwa miaka ijayo,maana mwaka huu umetia for a haijawai tokeaAisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Ipi ifuatwe Katiba ya nchi inayo mpa mwananchi Hakj ya kuchagua na kuchaguliwa, au Katiba ya Kanisa Katoliki inayo weka Mipaka?!Kasisi hata angegombea kupitia Chadema angesimamishwa tu. Hawaruhusiwi kabisa kuwa wanasiasa na hata Magufuli akisimama pale madhabahuni hawezi kamwe kutoa maamuzi ya kiuongozi akiwa pale zaidi ya kuongea tu kama muumini wa kawaida.
Rwaichi ni askofu wa jimbo kuu la Dar es Salaam. Pengo ni Kadinali na atakufa kadinali, alistaafu uaskofu wa jimbo kuu la Dar es Salaam tu.Ataandikiwaje pengo ikiwa Alisha staafu na kwa Sasa cardinali ni Rwaichi,hiyo barua nibya uongo
We mjinga sana.Aisee sikujua kama pia wapo mapadre wa catholic, kanisa lenye heshima naye alitaka kwenda bungeni. Shame on you maccm!
Haya amefukuzwa aende vizuri huko CCM
View attachment 1523939
Yule imebaki tu kujiita mungu. Inasikitisha hawa Matapeli wana waumini lukuki.Je, tapeli gwajima atajifukuza mwenyewe?