Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Wewe ndio hujui hayo ni mashirika mawili tofauti usipende kushupaza shingo ukiwa unatolewa ujinga.Kalaga bahooo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndio hujui hayo ni mashirika mawili tofauti usipende kushupaza shingo ukiwa unatolewa ujinga.Kalaga bahooo
Achana na conspiracy theories.Vatcan ni serikai kamaili yenye majajusi wake na idara ya usalama, wenye utii mkubwa na uwezo wa kuibadilikia hata inchi aliyo zaliwa,ni taasisi tajili yenye kumiliki ardhi na miradi Duniani kote,watu wao wa usalama ni pamoja na hao,kuhakikisha hakuna mali wala fedha na heshima yao inanyakuliwa na mtu yoyote au taifa lolote.
Wasimuamini sana
achaneni na propaganda za ellen g white, Jesuits are just priests. Nothing more nothing less..... yote tisa, la mhimu zaidi ni Jesuit!
Fuatilia kwanza kabla hujahukumu. Je, wajua alikuwa mstari wa mbele Sudani pia?Sio kamandoo huyo kaghushi.Hizo ni sare za wanajeshi wa sudan.Anapenda sana sifa huyu
Nafikir unapumua kupitia tundu lako la nyumaNgoja tupekue na upande wetu wavaa vipedo na yeboyebo kama kweli wanasema hatupendi Elimu bali tunapenda Ilimu Akhera.
Kristu -Tumaini letu, Tumaini letu -Kristu
Nambeni ufafanuzi anawezaje kufanya hayo yote ya Uanajeshi na Upadri?
JAMIII ya Siri.... yote tisa, la mhimu zaidi ni Jesuit!
Kakutuma ukanushe hapa tusiwastukie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sio kamandoo huyo kaghushi.Hizo ni sare za wanajeshi wa sudan.Anapenda sana sifa huyu
Hebu fatilia wasifu wa sheikh usaaama bin ladenNgoja tupekue na upande wetu wavaa vipedo na yeboyebo kama kweli wanasema hatupendi Elimu bali tunapenda Ilimu Akhera.
Wewe tulia unajua nini kuhusu ujasusi mkuu ?Vatcan ni serikai kamaili yenye majajusi wake na idara ya usalama, wenye utii mkubwa na uwezo wa kuibadilikia hata inchi aliyo zaliwa,ni taasisi tajili yenye kumiliki ardhi na miradi Duniani kote,watu wao wa usalama ni pamoja na hao,kuhakikisha hakuna mali wala fedha na heshima yao inanyakuliwa na mtu yoyote au taifa lolote.
Wasimuamini sana
Acha udini hautakufikisha popote broNgoja tupekue na upande wetu wavaa vipedo na yeboyebo kama kweli wanasema hatupendi Elimu bali tunapenda Ilimu Akhera.
... ukapata huruma ya nini?Hawajuagi tu Rombo ndo makao makuu ya uzalishaji wa mapadre[emoji28] kuna nyumba watoto wote wanne wamekua mapadre mpk nikapata huruma
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Kapewa uanajeshi kama zawadi tu yeye alienda kule kama mchungaji tuFuatilia kwanza kabla hujahukumu. Je, wajua alikuwa mstari wa mbele Sudani pia?
Ninja ndio wanaruka mioto na kuchezea visu na cheniUninja ndio nini mzee sema anablack belt ya karate
Aah wapiInamana asafishi rungu