Padri Henry Rimisho wa Kanisa Katoliki atunukiwaa PhD ya Architecture

.RDC wako wa aina hii wanatokea kanisani na kwenda kuhudumu jeshini lkn si wajeda kamili
 
Mbona elimu kubwaaa hila cheo cha jeshi kidogo kwahyo CV yake alitakiwa awe hata brigedia
 
Huyu akafungue kanisa huko Ethiopia au kwa Wakongo kwa magaidi awahubirie waache usumbufu
 
Kwani akipewa vyeo vya jeshi na jeshi la Sudan ndio sio mwanajeshi? Kwanini asivae kijeshi wakati ni mwanajeshi kweli?
 
Kuna watu hata miaka kumi jeshini hawana ila ni mamajor.
cc Maafande wa ujenzi🙂😉
 
Kuna siku nipo buguruni kwa madenge nikaona watu wametulia barabarani wanaangalia katv....
Bwana kuna anashusha hizo nondo za u'jesuit .
Yani full ujinga.
Nikawauliza anaishi wapi wakanionesha,
Nikasema ujinga ni mzigo[emoji1]
We acha tu unakuta na wengine wamekaa wamsikiliza tena kwa makini na sura za huzuni kabisa.Yaan mpaka unawaonea huruma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…