Padri Kitima: Unafiki na kusifia kila jambo ili kupata vyeo kutaliua Taifa

Mwambie maoni yake ni mazuri Ila aanzie ndani kwake kwanza maana Mapadri wamekuwa wanalawiti watoto na wengine wanauwawa kiutata sana.
Nasema uongo ndugu zanguuuu
Kwa sasa maadili ya kiimani yametoweka kwa dini zote.

Wakristu na waislam wote hawana tena huo utumishi wa kiimani.

Kila siku utasikia padre kawabaka waumini wake na kesho utasikia shehe kawarawiti wanachuo wake.
 
Rudi kwenye mada usichanganye mafaili kukwepa ukweli!!!
Hakuna cha ukweli hapo bali tuseme ukweli kuwa kipindi cha jiwe kila tukio la hovyo Hawa watu wa kanisa walijitahidi angalau kusema,

Ingawa siyo wote waliokuwa na huo uthubutu wa kukemea unyama.
 
Ugonjwa huu uliasisiwa na utawala wa jiwe
 
Yeye na Kanisa lake pia ni Wanafiki. Wakati wa Mwendazake ambaye ndiye mwanzilishi wa hii tabia hawakudiliki kusema kitu. Sana sana walimsifia.

Kwenye hili siliungi mkono Kanisa.
Hata usipounga mkono haitoondoa ukweli kuwa jiwe alikuwa ni mnyama.
 
Chawa wataanza kumparua Padre sasa hivi bila kupima uzito wa ujumbe wake.
Hili ni jambo la kweli kabisa. Utatuzi wake uko kwenye katiba. Vyeo visitolewe tena na mtu mmoja bali wananchi ndiyo wachague.
 

Acha uongo we ni muumini wa makobazi na vibandiko iyo iko wazi. Kwa iyo kama uongozi uliopita ulikuwa na madhaifu hayo, basi tuendelee tu hivyohivyo? Ficha udini wako huko
 
Acha uongo we ni muumini wa makobazi na vibandiko iyo iko wazi. Kwa iyo kama uongozi uliopita ulikuwa na madhaifu hayo, basi tuendelee tu hivyohivyo? Ficha udini wako huko
Asante Sana mke wangu mzuri, hakika unanijua Sana Mumeo na dini ninayosali.
 
Mkuu huyo Ben saanane ni baba yako mzazi au?
 
Hata kipindi cha JPM huyo padre alibaki na msimamo wake.
 
Mapadre fanyeni kazi ya Mungu.

Maoni yenu kwa sasa yamechafuka.
Kwani hiyo ni kazi ya shetani?viongozi wa kiroho wanapoona mambo hayaendi vzr inawalazimu kukemea ili taifa lisiende kwenye machafuko.kuna wengine humu wana wajomba zao uarabuni hali ilibadilika wengine tutabaki tunachinjana na mifano ipo.
 
Hao walioporwa ni majizi yalipata fedha kwa njia ovu.
 
Hasa viongozi wa dini na serikali. Zamani viongozi wa dini walijitahidi kukemea na kukosoa mwenendo mbovu wa serikali—siku hizi wamekuwa kama wanasiasa tu.
 
Walimfanya Nini alipowatishia kuondoa exemption Kwny magari ya Taasisi za kidini, alipowahangaisha wakina Bagonza, Niwemugizi?

Na hayo aliyoyafanya Magu leo Samia akiwafanyia RC reaction ya kanisa itakuaje?

Wacha mboyoyo
walimsalia novena akafa


"A novena is a ritualistic devotional worship where one or more Christian devotees make petitions, implore favors, or obtain graces by honoring Jesus Christ, Virgin Mary or the saints of the faith who are believed to empower divine intervention"
 
Unafiki unaanza kwao
Akija wa kuwashikisha adsbu wanafunga midomo
Waendelee kuhubiri ya Mungu haya ya unafiki ni kila sehemu yapo na akija mbabe wanaufyata tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…