Padri wa Kanisa Katoliki aliyefukuzwa afunguka

Padri wa Kanisa Katoliki aliyefukuzwa afunguka

K

Ila hawa Roma huwa siwaelewi kuna mapadri wanao adhiniwa kwa makosa ambayo wengine hawaadhiniwi mfano Padri Bayo wa Jimbo la Pwani Bagamoyo ushahidi wa wazi kabisa upo amezaa na mfanyakazi wake watoto 2 lakini anasalisha na hakuna hatua yoyote alichukuliwa
Huo ni ushahidi wa aina gani: DNA?
 
K

Ila hawa Roma huwa siwaelewi kuna mapadri wanao adhiniwa kwa makosa ambayo wengine hawaadhiniwi mfano Padri Bayo wa Jimbo la Pwani Bagamoyo ushahidi wa wazi kabisa upo amezaa na mfanyakazi wake watoto 2 lakini anasalisha na hakuna hatua yoyote alichukuliwa
Kuzaa siyo dhambi, ila uzinzi.
 
Mpaka ukiona Askofu ametoa huo waraka, basi ujue huyo Padre amefanya kosa ambalo halivumiliki kwa mujibu wa sheria na taratibu za Kanisa.

Hivyo arudi tu nchini kwao. Maana hakuna namna. Sisi wengine tuliona bora tuondoke huko mapema. Maisha ya kuishi kama mseja, fukara, mtii kwa Askofu! Nani angeyaweza. Bora nibakie tu kuwa Mlei muaninifu kwa Kanisa.
Tumsifu Yesu Kristo mlei mwenzangu
 
Ila hili suala la baadhi ya Mapadre/Maaskofu wa Kanisa Katoliki kuwa na watoto, aisee siyo majungu! Hili jambo lipo!

Mimi nimeishi kwa miaka mingi Wilaya ya Kilombero na Ulanga! Kule Majimbo Katoliki mawili ya Mahenge na Ifakara! Kiukweli kuna idadi kubwa sana ya Mapadre wenye watoto! Kuna Pandre mmoja alikuwa na watoto wawili aliozaa na mwalimu wa sekondari! Kuna mwingine alikuwa na watoto 4!

Na wanatumia jina la ukoo wake, na la mdogo wake! Lakini wananchi/waumini wanaona kila kinacho endelea! Amemjengea huyo mwanamke nyumba, na kumfungulia biashara!

Kwangu mimi kama Mkatoliki, natamani kuona Mapadre/Watawa wakipewa uhuru wa kuoa/kuolewa! Ili kupunguza haya mateso ya useja kwa binadamu walio kamilika.
Mkuu, je kwa ku-cheat nje ya ndoa ndio iwe kigezo cha kanisa kuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.?!
 
Mkuu, je kwa ku-cheat nje ya ndoa ndio iwe kigezo cha kanisa kuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.?!
Sababu siyo hiyo pekee. Wanaume wengi tuna waka tamaa tuonapo maua mazuri.

Kwa hiyo ni jambo zuri tu kama imani ya Kikristo nayo itaruhusu mwenye uwezo wa kuoa zaidi mke mmoja, aoe ili kupunguza uwepo wa nyumba ndogo zisizo rasmi.

Na siku wakiruhusu, basi na mimi nitakuwa mmoja kati ya wale waumini wa mwanzo mwanzo kabisa kuoa mke zaidi ya mmoja.

Na Mapadre/Watawa/Maaskofu wa Kikatoliki nao wapewe uhuru wa kuchagua, halafu tuone kama watakomaa na useja wao, au wataungana na sisi kuijaza nchi.
 
Sababu siyo hiyo pekee. Wanaume wengi tuna waka tamaa tuonapo maua mazuri.

Kwa hiyo ni jambo zuri tu kama imani ya Kikristo nayo itaruhusu mwenye uwezo wa kuoa zaidi mke mmoja, aoe ili kupunguza uwepo wa nyumba ndogo zisizo rasmi.

Na siku wakiruhusu, basi na mimi nitakuwa mmoja kati ya wale waumini wa mwanzo mwanzo kabisa kuoa mke zaidi ya mmoja.

Na Mapadre/Watawa/Maaskofu wa Kikatoliki nao wapewe uhuru wa kuchagua, halafu tuone kama watakomaa na useja wao, au wataungana na sisi kuijaza nchi.
Naunga mkono hoja
 
Mpaka ukiona Askofu ametoa huo waraka, basi ujue huyo Padre amefanya kosa ambalo halivumiliki kwa mujibu wa sheria na taratibu za Kanisa.

Hivyo arudi tu nchini kwao. Maana hakuna namna. Sisi wengine tuliona bora tuondoke huko mapema. Maisha ya kuishi kama mseja, fukara, mtii kwa Askofu! Nani angeyaweza. Bora nibakie tu kuwa Mlei muaninifu kwa Kanisa.
Kwanini uwe mtumwa wa kanisa? Kwani usipokua mkatoliki hufiki mbinguni?
 
Back
Top Bottom