Padri wa Kanisa Katoliki aliyefukuzwa afunguka

Huo ni ushahidi wa aina gani: DNA?
 
Kuzaa siyo dhambi, ila uzinzi.
 
Tumsifu Yesu Kristo mlei mwenzangu
 
Mkuu, je kwa ku-cheat nje ya ndoa ndio iwe kigezo cha kanisa kuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.?!
 
Mkuu, je kwa ku-cheat nje ya ndoa ndio iwe kigezo cha kanisa kuruhusu kuoa mke zaidi ya mmoja.?!
Sababu siyo hiyo pekee. Wanaume wengi tuna waka tamaa tuonapo maua mazuri.

Kwa hiyo ni jambo zuri tu kama imani ya Kikristo nayo itaruhusu mwenye uwezo wa kuoa zaidi mke mmoja, aoe ili kupunguza uwepo wa nyumba ndogo zisizo rasmi.

Na siku wakiruhusu, basi na mimi nitakuwa mmoja kati ya wale waumini wa mwanzo mwanzo kabisa kuoa mke zaidi ya mmoja.

Na Mapadre/Watawa/Maaskofu wa Kikatoliki nao wapewe uhuru wa kuchagua, halafu tuone kama watakomaa na useja wao, au wataungana na sisi kuijaza nchi.
 
Naunga mkono hoja
 
Kwanini uwe mtumwa wa kanisa? Kwani usipokua mkatoliki hufiki mbinguni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…