Car4Sale Pajero GDI kwa Milioni 4.5


Mkuu unaweza kuweka na picha za hizo piki piki za kuchaji pamoja na za cc 50 pamoja na bei zake
 
Tatizo la Jf wateja serious ni wachache sana.

Ukiweka picha wabakashifu

Usipoweka wanaziomba

Wanaohitaji huwa wanapiga simu nawatumia whatsapp wanaridhika na kuja tunafanya biashara.
Are you An. Raul... Vick mahush?
 
DT 250 au Yamaha 250 na honda 250 Bei imekaaje kwako
 
DT 250 au Yamaha 250 na honda 250 Bei imekaaje kwako
Kwangu hizo sina.
Kuna pikipiki nauliziwa kwwnye simu hata sijawahi zisikia wala kuziona Dar.

Wajomba huyo dada ni receptionist

Boss ni mwanaume sura mbaya serious kama mamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…