Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Hatumuandalii ameshatake cover, jiulize barcode ni kitu gani. . . na kwanini siku hizi mambo mengi ni password...! Jiulize kuhusu biometric nk
kama ameshatake cover, kipi kifanyike ili kujiokewa katika mtego wake mkuu. maana Dunia yetu yasasa kilakitu tunacho kifanya ni ushetani. hadi makanisa tunayo kwenda kuabudu zehebu nyingi zinamtukuza shetani, watumishi wa Mungu wengi leo wanatumia miujiza kupitia nguvu zakuzimu. Mwanadam wakawaida wapi tutakimbilia??
 
Ni kumtegemea Mungu tuu na neema yake
 
Habari Mkuu Mshana...kwa wale wataalamu ambao uwaonesha watu matukio kupitia zile tv zao za Jadi, vp kinachofanyika pale anamfungua mtu jicho la tatu kwa njia zake au ni kioo kweli kinaonesha? cuz nasikia anakunywesha dawa halafu unasubiri muda fulani then anakuita kwenye kioo lakini hata baada ya kumaliza kuangalia kioo, matukio utakayokua unayaona njiani ni shida.
 
Yale ni mazingaombwe na usanii mtupu nilishawahi kujaribu kwa hao wataalam mbalimbali nione kama ni kweli lakini hakuna kitu
Wanachofanya ni kuwapa pesa baadhi ya watu watoe ushuhuda wa uongo
 
Mbunda hata mimi namfahamu...wewe kweli upo asawia ña haya masuala
 
duh mkuu upo nondo sana, Dunia inakwisha hivyo,bt wote waliyo na hiyo mipango nao hawatadumu...kifo kwa kila mtu
 
Mm nataka kujua kwamba wao rockerfellers,rothschild na wengne watafaidika nn baada ya dunia kuwa chin ya NWO? Pil wao wanafaidika nn binadamu kuwa wafuasi wa shetani
 
Nawezaje kupata elimu hiyo i.e nisome vitabu gan?
 
Asante ndugu kwa maelezo mazuri. Nataka kujua nawezaje kumantain uwezo wa mtoto kutumia jicho la tatu awe nao had ukibwan. Pili je naweza kutumia meditation kupata mafanikio kifedha u kiuchumi. If yes how
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…