Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Hatumuandalii ameshatake cover, jiulize barcode ni kitu gani. . . na kwanini siku hizi mambo mengi ni password...! Jiulize kuhusu biometric nk
kama ameshatake cover, kipi kifanyike ili kujiokewa katika mtego wake mkuu. maana Dunia yetu yasasa kilakitu tunacho kifanya ni ushetani. hadi makanisa tunayo kwenda kuabudu zehebu nyingi zinamtukuza shetani, watumishi wa Mungu wengi leo wanatumia miujiza kupitia nguvu zakuzimu. Mwanadam wakawaida wapi tutakimbilia??
 
kama ameshatake cover, kipi kifanyike ili kujiokewa katika mtego wake mkuu. maana Dunia yetu yasasa kilakitu tunacho kifanya ni ushetani. hadi makanisa tunayo kwenda kuabudu zehebu nyingi zinamtukuza shetani, watumishi wa Mungu wengi leo wanatumia miujiza kupitia nguvu zakuzimu. Mwanadam wakawaida wapi tutakimbilia??
Ni kumtegemea Mungu tuu na neema yake
 
Habari Mkuu Mshana...kwa wale wataalamu ambao uwaonesha watu matukio kupitia zile tv zao za Jadi, vp kinachofanyika pale anamfungua mtu jicho la tatu kwa njia zake au ni kioo kweli kinaonesha? cuz nasikia anakunywesha dawa halafu unasubiri muda fulani then anakuita kwenye kioo lakini hata baada ya kumaliza kuangalia kioo, matukio utakayokua unayaona njiani ni shida.
 
Habari Mkuu Mshana...kwa wale wataalamu ambao uwaonesha watu matukio kupitia zile tv zao za Jadi, vp kinachofanyika pale anamfungua mtu jicho la tatu kwa njia zake au ni kioo kweli kinaonesha? cuz nasikia anakunywesha dawa halafu unasubiri muda fulani then anakuita kwenye kioo lakini hata baada ya kumaliza kuangalia kioo, matukio utakayokua unayaona njiani ni shida.
Yale ni mazingaombwe na usanii mtupu nilishawahi kujaribu kwa hao wataalam mbalimbali nione kama ni kweli lakini hakuna kitu
Wanachofanya ni kuwapa pesa baadhi ya watu watoe ushuhuda wa uongo
 
nakumbuka siku mbili au tatu kabla yakuingia kwenye pepa ya darasa la saba nilipitiwa na usingizi mchana muda wa masaa matatu,nilivyokuja kustuka mtihani wote nilikua nao kichwani,sikudharau kwasababu nilishaota hapo awali nikadharau alafu kwenye pepa nikakuta kama nilivyoota,huwezi amini nilichana pepa nikapangwa GALANOS SECONDARY SCHOOL,yani kule ndio kuna siku nilitoa mpya nililala usingizi kuanzia saa kumi za jion mpaka kesho yake asubuhi kiongozi wa bweni aliripot kesi mpaka basi sijawahi kuhudhuria prepo nikamaliza nusu saa lakini chakustaajabu sasa pepa ikija sio chini ya 95%,kwa wanaomkumbuka mwalimu flani hivi kwasasa yupo wizarani sikosei,huyo jamaa akikwambia hupati B usimbishie maana wengi walishaumbuka sana,ila nilivunja historia yake kwakupata A ya 96 hakuamin na alinipa elfu kumi,huyo mwalimu anaitwa mbunda ni shida sana.
Mbunda hata mimi namfahamu...wewe kweli upo asawia ña haya masuala
 
041071fdab150ddc6870368a8b65602d.jpg
Human microchip implant ndiyo technology inayokuja kuumaliza ulimwengu kwan wana mpango wa kubakizi watu ambao ni easy manageable ,easy controlled under their own conspiracy which bases on microchip ability to allow third eye make decision on how to change and feel the world like a village in all aspects of nature duality ....hakika through microchip utakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiri mambo hata ambayo its beyond thinking capacity...hiyo microchip inauwezo wa kuasha jicho la 3 katka utendaji kazi mkubwa na kwa ufanisikubwa...ndo mana wanahitaji mtu apandikizwe ile kitu kwan itakuwa connected kwenye central computalised network ambayo itakusanya thinkings zote za mwanadamu aliyepandkizwa ile kitu..

Tayari rais obama ameshasaini mkataba na Rockfeller foundation wanaotengeneza microchip ambazo ifikapo mwaka 2017 watanza kuimplant every new CHIRD BORN IN US...na badaye watazikomand nchi zingine kufanya hivo bit itakuwa ni mission moja bayo it is very secret only doctors ang high physicians ndo watajua misssion behind bit other people tutadanganywa kuwa ni chanjo ya magonjwa hatari yanayokuja tokea kwa badae but it will be a blackminding decision kwetu sisi wenye uwezo mdogo wa kujua mambo..

Rockerfeller foundation is one of 13 high families zinazoongoza kwa misingi ya illumonanti conspirancy katika kutekeleza agizo la NEW WORD ORDER (N.W.O) ambapo msingi wake mkubwa ni kutimiza agizo la kuprepare one world under one governing system chini ya misingi ya kishetani..

ALLIENS TECHNOLOGY THROUGH ROCKERFELLER FOUNDATION WANABUNI how this microchip will be induced to manipulate human race into controllable and manageable conditions..hawa hawa Rockerfeller ndio wana maabara kubwa sana iliyopo Area 51 sub station 6 base 66 Cr65A iliyopo pia Arizona ambayo hakika ina watu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza VIRUS ambao wata be released soon kuhakikisha wana invade worl massive population kupungiza watu lakini pia kushambulia PINEAL GLAND ambayo hakika ndio kiini cha kuamsha hisia za jicho la 3 ambalo mwanadamu akilitumia ipasavyo anaweza akajinasua katka mtego wa kuitumikia gadhabu ya mvinyo wa hasira ya mwenyezi mungu juu ya watakao muasi na kuishi maisha under satarnic conspirancy....

Tockefeller ha hao ndio waliotengeneza virus wa HIV ambae pia mpaka sasa no tishio katka maisha ya mwanadamu na ndio anayeshambulia mfumo wa ubongo wa kati (CENTRAL NERVOUS SYSTEM) ambayo inahusiana na kuamsha hisia za jicho la 3 ndio maana watu wanaopata HIV in relation to their ARV THERAPY wanaishia kupata mtindio wa ubongo kwa badae..so u can see jinsi tunavopata double impacts on this..
HIV virus ni human made virus aliyetengenezwa na Dr.CHARLES ROBERT GALLO under Rockerfeller foundation na pia wametengeneza virus aina ya ZIKA VIRUS ambaye tumeshanza kumsikia mambo yake.hii yote ni mipango yao...
H5N1 ni virus wa mafua ya ndege aliyetengenezwa under rockerfeller foundation kukaanga watu indirectly kupitia serotype antigen aina mbili ( human serotype and Birds serotype) ...
Ukifikilia sana unaweza ukatamani mungu akuchukue mapema usikumbane na haya mambo yanayoenda kutokea make watu watamkana mungu laivu na pale ndo wateule watajulikana watakaosimama imara kukemea haya yote..lakini labla hujakemea hayo yote ni HORUS EYE ndio itakayokupa uelewa zaid namna ya kuzijua hiI trick zote..

Epuka mapema kubecontrolled under microchip imlant kwan hutakuwa na uwezo wa kujikomboa ukiwa under chip controlled...
Elewa na chukua tahadhali kubwa lakini ka ukijua ni namba chache xana ya watu WATAKAOJINASAU NA MTEGO HUO...its a BATTLE BETWEEN YOU AND SATARN...
...........................................
duh mkuu upo nondo sana, Dunia inakwisha hivyo,bt wote waliyo na hiyo mipango nao hawatadumu...kifo kwa kila mtu
 
Mm nataka kujua kwamba wao rockerfellers,rothschild na wengne watafaidika nn baada ya dunia kuwa chin ya NWO? Pil wao wanafaidika nn binadamu kuwa wafuasi wa shetani
 
Kingo hiki kinachoitwa forbidden knowledge ndio elimu adhimu inayoendesha dunia
Elimu ya ufunuo elimu yenye kupenya upeo wa kawaida wa maono ya kidunia na kibidanamu
Elimu ya kiitelejensia yenye alama ya kuhoji kwenye kila kitu bila kujali udogo au ukubwa wake...elimu isiyo na ithibati za kisayansi lakini yenye kutoa matokeo ya kushangaza
Nawezaje kupata elimu hiyo i.e nisome vitabu gan?
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo..kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali...kiukweli wale jamaa wanauwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..ndio maan waliowengi waliokatka mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....nitawaeleza kwanini hii inatokea....kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa ,hekia yako,ufahamu na maalifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland...this is the mainly gland the control circadian rythm withrespect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....hii tezi(pineal gland) ndiyo inayoatoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupunga kadri umri unavozid kwenda...nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuroawerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....yan upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inkuwa kubwa sana in relation to mind and will power....yan inasemekana mtoto ndgo anaupeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakatimwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will powee inakuwa ndogo katika kjua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..
Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali..ndo mana illuminant wanalitegemea kama taaa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu...??

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS..ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo..free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu....ndo mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo mudawa kulala unapungua zaidi( unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...so FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anakla kila siku..ndo mana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin...ndo mana watalamu wanasema unapopiga mswaki usimze dawa ile..wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu,x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msing mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA..upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa...ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka..??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu..mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tuliowengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
Asante ndugu kwa maelezo mazuri. Nataka kujua nawezaje kumantain uwezo wa mtoto kutumia jicho la tatu awe nao had ukibwan. Pili je naweza kutumia meditation kupata mafanikio kifedha u kiuchumi. If yes how
 
Back
Top Bottom