Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Hongera mwalimu, tumia huu mtandao wa kijamii kufungua akili zetu .Napenda sana jicho la tatu kwani mambo mengi siyajui, nilifikiri ukisali sana ufalme wa Mungu utauona, kumbe kuna jicho la tatu. Hivi wachawi wanatumia jicho la tatu ?
 
Kaka wewe naona ulilijua hili na mengine mengi kitambo nivizuri utuelimishe zaidi tuwe wengi usiikalie elimu kaka tusaidie tufungue macho ...what is ur suggestions on this problem
 
ulishajaribu kufanya hivyo? ulifanikiwa?
 
Kama haileti pesa basi haimake sense.

Nilekeze kumake mkwanza kwa ilo jicho kulitambua tu haitoshi .......

By Bangi za chooni
 
Kama haileti pesa basi haimake sense.

Nilekeze kumake mkwanza kwa ilo jicho kulitambua tu haitoshi .......

By Bangi za chooni
Mmh [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…