Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Asante na hongera kwa kupata mafunuo mapya... Muda mwingi kinachotutesa na kutuumiza sana hakitoki mbali bali kiko ndani ya ufahamu wetu.. Hivyo tunapofunuliwa na mada kama hizi na kuweza kubadili mitazamo yetu, hujikuta tukitoka kwenye vifungo vilivyotutesa muda mrefu sana huku vikituachia makovu mengi
Kuhusu kuota ni lazima uote.. Ndoto huleta afya ya akili lakini si zote... Sasa endelea kujizoeza kulala ubavu hata kama ukistuka usingizini umelala chali rudi kwenye position ya awali
Mwisho nakushauri sasa pamoja na kuendelea na tahajudi punguza matumizi ya vileo, nyama kahawa na kitunguu maji... Pia jizoeze kuogea maji ya chumvi kila mara
 


Nashukuru sana mkuu wangu...nitafanyia kazi ushauri wako...nashukuru sana
 
Mshana jr kwahio tukilala chali ndo kusema mlango wa faham mmoja tunakuwa tumeacha wazi hivyo unaendelea kuwasiliana hata kama tumelala???
Tuanzie hapo kwanza
 
Mshana jr kwahio tukilala chali ndo kusema mlango wa faham mmoja tunakuwa tumeacha wazi hivyo unaendelea kuwasiliana hata kama tumelala???
Tuanzie hapo kwanza
Nadhani mada hii imelifafanua hilo hebu rudia kusoma tena
 
Habari Mkuu..nimefatilia Uzi wako uko vzr sana,,na hata hivyo Jana nilianza kufnya meditation kama dakika kadhaa hivi nikaanza kuona mambo niliyofny asbh yake pamoja na siku zilizopita pia nikaanza kuhis uzito ktk paji la USO Mkuu,nikaamua kufumbua macho nakuacha. Baada ya hapo nilianza kuona maluweluwe nakusikia saut za ajbu kisha zinapotea na hta usiku kiukwel nimeweweseka sana Mkuu na mpka sasa kichwa kinauma ktk paji la uso ,nifanyaje mkuu?....Napia Mara nyinyi nimekuwa na uwezo wakuhisi kitu then huwa kinakuwa kweli au kama nyumbn Kuna tatzo mara nyingi huwa sipati usingizi nikipiga cm usiku either mama anaumwa au kuna tatz lingine na hii inasababishwa na nini?...
 
Umeanza vizuri sana hukupaswa kuacha na sawa na ujenzi wa barabara mpya mwanzo huwa na mvurugano mwingi lakini kadiri unavyoendelea hupata mwelekeo na hatimaye barabara kamili kujitokeza... Endelea usiache
 
Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

[emoji121] Mkuu Mshana Jr unaweza fafanua zaidi hapo, hili tatizo ninalo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…