Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Na hata mtu akifa kwenye jeneza kuzikwa ni chali
 
[emoji120][emoji120][emoji120]

Jr[emoji769]
Mkuu hv inakuaje 'mm hua na mazoea ya kulala na ubavu, lakini nkiota ndoto hususan naotaga ndoto za kukimbizwa, nikishtuka najikuta nimelala chali alafu nmekunja miguu'
Ebu nsaidie ktk hilo kwa niaba ya wote ambao hii hali inawakumba wao au watu wao wa karibu
Ahsante
 
Isome tena mada kule juu nimelijibu hili
 

Mkuu naomba kuuliza

Nivibaya kutumia hilo jicho la tatu??

Je? Kuna madhara yoyote ukitumia jicho la tatu?

Je? Kunafaida gani ukitumia jicho la tatu??

👀👁
 
Mkuu naomba kuuliza

Nivibaya kutumia hilo jicho la tatu??

Je? Kuna madhara yoyote ukitumia jicho la tatu?

Je? Kunafaida gani ukitumia jicho la tatu??

[emoji102][emoji872]
Ni vizuri kulitumia hasa positively... Hawa wanaojiita waganga na manabii wengi wana posess half of it
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…