Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OK now tunafahamu what going there, tunachukua jukumu gani ku-prevent kizazi kijaxho kisiathirike!Tumefika hapa tulipo kwakuwa tulizuia bongo zetu kutozipa maarifa ya dunia maarifa yanayosemwa kuwa ni forbidden
[emoji23] [emoji23] [emoji23] haya Bana![emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulishawahi kuzikutanisha hasi na chanya? Uliona kilichotokea? Basi hata kiroho ni hivyo hivyo
Hakuna namna zaidi ya kumuomba Mungu kwa wale waamini kwakuwa hiyo kitu ni kama kansa iliyotafuna ulimwengu wote mpaka kwenye dini zetu...sasa unafikiri kuna kupona hapo?OK now tunafahamu what going there, tunachukua jukumu gani ku-prevent kizazi kijaxho kisiathirike!
Aisee ni kweli kabisa[emoji23] [emoji23] [emoji23] Ulishawahi kuzikutanisha hasi na chanya? Uliona kilichotokea? Basi hata kiroho ni hivyo hivyo
Ni matendo na matokeo yale yale ya mambo ya kiroho kwenye ulimwengu usioonekana, wewe yako yanafanya kazi kwa namna hiyo..una mlango wa sita wenye nguvu na ukijibidiisha kwenye tahajudi unatapa matokeo chanya zaidiMnasema ukilala chali unaota mauzauza. Lakini mimi huwa nalala chali maisha yangu yote huwa sioti mauzauza kama mnavyoshuhudia. Ni mara chache sana kuoto mauzauza hasa nikiwa nimelala kiubavu halafu nimekunja miguu ndiyo hunitokea hiyo hali. Lakini kwa ujumla hata nikilala kifudifudi au ki ubavu nikishtuka kutoka usingizini najikuta nimelala chali. Hii hali inauhusiano gani na jicho la tatu? Halafu, nikilala chali huwa naweza kutafakari mambo yangu kwa muda mrefu bila kuingiliwa na mawazo mengine na kuvuruga jambo nililokuwa naliwaza. Mshana Jr hii inamaanisha nini mkuu? Naomba ufafanuzi wako.
Mshua
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]To some extent yeah...! Hata sasa nayaona mambo mengi tofauti na wengine waonavyo kuna wakati huwa najistukia na kukaa kimya nikiogopa kuonekana tofauti
[emoji87] [emoji134] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu usijishutukie wewe watu walisha kuona wa tofauti. Ni bora kuchimba zaidi ili uwe na uelewa mkubwa zaidi wa haya mambo. Mtu akihitaji expert wa yaha mambo uwe moja wapo
sijanyaka hapa
Mshana Jr tell me. Who are you? and What are you?![]()
Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.
Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.
1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus![]()
Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.
2. Mathematics![]()
Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.
3. Tahjud (Meditation)
![]()
Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.
4. Baptism & Sijda![]()
![]()
Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..
Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.
5. A kiss on the Forehead
![]()
Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.
6. FREEMASONRY
![]()
Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu
7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)![]()
Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.
8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.
Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.
Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.
Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.
Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
Mzee wa Masauti I am me myself and IMshana Jr tell me. Who are you? and What are you?
Mambo mengi sana yamechakachuliwa na binadamu mwenyewe kukidhi matakwa na mahitaji ya nyakati ya kibinadamu![]()
??????????????????????