Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

[emoji23] [emoji23] [emoji23] imebidi nicheke kwa kujibana hapa nilipo unajua ile kitu inaamsha hisia za mlango wa sita kupitia hilo jicho la tatu
Lakini katika mlango ule wa hisia alishajenga mawazo ya kuonana na hao watu kwahiyo kinachotokea ni kama tu mlango wa hisia kubeba ujumbe na kuupeleka kama ulivyo kwenye mlango wa sita
nnashukuru kwa post bro mimi ni miongon mwa watu wenye hasira kali na nnapokua katika hali hiyo paji la uso katikati huuma muda wote nnapokuwa na hasira je ina uhusiano na jicho la tatu?
 
Niliwahi kuweka mada ya micro chips implants lakini kuna baadhi hawakuelewa kabisa..ni kweli kabisa mason wana mpango kabambe wa kuua mlango wa fahamu ya sita ili ile ni rahisi kutawala dunia
63b6ed4254840d649337abc3e6065fea.jpg
2e3a134ba50d2bd65ea492b9c99db901.jpg
9b5321d83a1038b6340eaeff1eb72132.jpg
Read it somewhere!
Wanataka kutuwekea hati miliki na kutufuatilia kwa kila jambo tutakalokuwa tunafanya!
Mfano mzuri ni passport inavyotumia ku-control movements zako!!
 
thanx kwa somo murua ndg Mshana but nina kaswali kidogo hua mara kadhaa naota napaa juu na kuvinjari maeneo mbalimbali ambayo siyajui kiuhalisia yani nikiamua na jump tu mara huyoo angani sasa hii situation ina maana gani na inahusiana vipi na third eye?
Hiyo inaitwa wondering mind inakuwa so strong kiasi cha kuasili uhalisia na hili tendo hufanyika usingizini tuu
81aa0ba30555c8829968c5d52fa2f1cb.jpg
 
kwanini mkuu?
Nitalijibu kwa kirefu kidogo
Ukiachana na imani ya kale ya Wamisri kwamba kumlaza marehemu kifudifudi ni dharau kubwa kuna hizi dhana hapa
1. Dhana ya mbingu na kuzimu
Imani zote zinaongelea maisha baada ya kifo na kwamba mbingu iko juu na kuzimu kuko chini ...hivyo unamlaza marehemu kuelekea kule atakakokwenda
f46f20d3aace00559140d39b69e5c664.jpg

2. Roho inapouacha mwili mawasiliano mengine yote ni kupitia jicho lionalo kwenye ulimwengu usioonekana, hapa kazi ya macho yatazamayo hukoma. ..hivyo kulaza kifudifudi ni sawa na kuliziba
5c5038cdaaa55f92ac7c20d37c7412c3.jpg

3. Binadamu tumeumbwa kusimama, na ku move kuelekea mbele na si kinyume chake hatuendi kinyume nyume kwahiyo hata mawasiliano yetu ya kiroho ni ya kufunguka angani na si chini ya ardhi
b41d1e88587d021845468eb195b367ef.jpg

4. Kuna jinsi nyingine za kumuweka marehemu kama kumsimamisha, kumkalisha kumlaza ubavu ubavu lakini kamwe si kifudifudi
f51644d86d6a3e8a093bfd3f1a104d98.jpg
 
nnashukuru kwa post bro mimi ni miongon mwa watu wenye hasira kali na nnapokua katika hali hiyo paji la uso katikati huuma muda wote nnapokuwa na hasira je ina uhusiano na jicho la tatu?
Hapana hiyo ni conflict within unagombana na roho yako na kuu overwork ubongo wako
e7f7f11a6366a712c8a401adcd41db5c.jpg
 
Kuna umuhimu wa kujadili namba 666 hasa vile inavyotumiwa na imani za kishetani na ule utabiri kwenye kitabu cha ufunuo
1466876908402.jpg
1466876913054.jpg
kadiri ninavyoendelea kupekua ndivyo kadiri ninavyopata picha kubwa zaidi picha ya kutisha kuhusu paji la uso
 
mweeeh kwahiyo nnagombanaje na roho yangu?
Ndani ya ufahamu kuna nafsi mbili au nguvu mbili hasi na chanya. . . nafsi roho ya Kimungu na nafsi roho ya kishetani
Maamuzi mengi matokeo yake ni maamuzi ya mojawapo wa hizo nafsi
Mgogoro mkubwa hutokea pale kila nafsi inapotaka kuwa mshindi
 
Ndani ya ufahamu kuna nafsi mbili au nguvu mbili hasi na chanya. . . nafsi roho ya Kimungu na nafsi roho ya kishetani
Maamuzi mengi matokeo yake ni maamuzi ya mojawapo wa hizo nafsi
Mgogoro mkubwa hutokea pale kila nafsi inapotaka kuwa mshindi
basi ni majanga nikikasirika kichwa kinauma na huchukua muda mrefu
 
Sasa kaka mkubwa Mshana jr ikiwa mtu kashazoeshwa lala chali tangia utoto wake na hakuna majinamizi wa maluelue hii inakuaje na ilo la jicho la tatu
 
Mkuu hii imekaaje?

Nikiwa nimefumba kabisa, ukiniwekea kitu usawa wa paji la uso nakifeel kabisa na kama nisipo wahi kukwepesha nasikia kama kamaumivu flan inakuwa sensitive.
Hiyo hali huwatokea wengi na hii ni kwakuwa macho yako mawili huangalia lakini linaloona ni jicho la tatu. ...
 
Back
Top Bottom