Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Manipulation can be a powerful tool that is frequently put into practice by people who have a Machiavellian personality.
fb6de6314dfc842ed55f37e95d7f5540.jpg
 
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
Jicho la 3 likifunguka mtu unaweza tenda maajabu lakini pia utaumia saana maana utaweza wajua wabaya wako ni wapi na wazuri wako ni wapi.. Kusoma alama za nyakati nk
 
Human microchip implant ndiyo technology inayokuja kuumaliza ulimwengu kwan wana mpango wa kubakizi watu ambao ni easy manageable ,easy controlled under their own conspiracy which bases on microchip ability to allow third eye make decision on how to change and feel the world like a village in all aspects of nature duality ....hakika through microchip utakuwa na uwezo mkubwa sana wa kufikiri mambo hata ambayo its beyond thinking capacity...hiyo microchip inauwezo wa kuasha jicho la 3 katka utendaji kazi mkubwa na kwa ufanisikubwa...ndo mana wanahitaji mtu apandikizwe ile kitu kwan itakuwa connected kwenye central computalised network ambayo itakusanya thinkings zote za mwanadamu aliyepandkizwa ile kitu..

Tayari rais obama ameshasaini mkataba na Rockfeller foundation wanaotengeneza microchip ambazo ifikapo mwaka 2017 watanza kuimplant every new CHIRD BORN IN US...na badaye watazikomand nchi zingine kufanya hivo bit itakuwa ni mission moja bayo it is very secret only doctors ang high physicians ndo watajua misssion behind bit other people tutadanganywa kuwa ni chanjo ya magonjwa hatari yanayokuja tokea kwa badae but it will be a blackminding decision kwetu sisi wenye uwezo mdogo wa kujua mambo..

Rockerfeller foundation is one of 13 high families zinazoongoza kwa misingi ya illumonanti conspirancy katika kutekeleza agizo la NEW WORD ORDER (N.W.O) ambapo msingi wake mkubwa ni kutimiza agizo la kuprepare one world under one governing system chini ya misingi ya kishetani..

ALLIENS TECHNOLOGY THROUGH ROCKERFELLER FOUNDATION WANABUNI how this microchip will be induced to manipulate human race into controllable and manageable conditions..hawa hawa Rockerfeller ndio wana maabara kubwa sana iliyopo Area 51 sub station 6 base 66 Cr65A iliyopo pia Arizona ambayo hakika ina watu ambao kazi yao kubwa ni kutengeneza VIRUS ambao wata be released soon kuhakikisha wana invade worl massive population kupungiza watu lakini pia kushambulia PINEAL GLAND ambayo hakika ndio kiini cha kuamsha hisia za jicho la 3 ambalo mwanadamu akilitumia ipasavyo anaweza akajinasua katka mtego wa kuitumikia gadhabu ya mvinyo wa hasira ya mwenyezi mungu juu ya watakao muasi na kuishi maisha under satarnic conspirancy....

Tockefeller ha hao ndio waliotengeneza virus wa HIV ambae pia mpaka sasa no tishio katka maisha ya mwanadamu na ndio anayeshambulia mfumo wa ubongo wa kati (CENTRAL NERVOUS SYSTEM) ambayo inahusiana na kuamsha hisia za jicho la 3 ndio maana watu wanaopata HIV in relation to their ARV THERAPY wanaishia kupata mtindio wa ubongo kwa badae..so u can see jinsi tunavopata double impacts on this..
HIV virus ni human made virus aliyetengenezwa na Dr.CHARLES ROBERT GALLO under Rockerfeller foundation na pia wametengeneza virus aina ya ZIKA VIRUS ambaye tumeshanza kumsikia mambo yake.hii yote ni mipango yao...
H5N1 ni virus wa mafua ya ndege aliyetengenezwa under rockerfeller foundation kukaanga watu indirectly kupitia serotype antigen aina mbili ( human serotype and Birds serotype) ...
Ukifikilia sana unaweza ukatamani mungu akuchukue mapema usikumbane na haya mambo yanayoenda kutokea make watu watamkana mungu laivu na pale ndo wateule watajulikana watakaosimama imara kukemea haya yote..lakini labla hujakemea hayo yote ni HORUS EYE ndio itakayokupa uelewa zaid namna ya kuzijua hiI trick zote..

Epuka mapema kubecontrolled under microchip imlant kwan hutakuwa na uwezo wa kujikomboa ukiwa under chip controlled...
Elewa na chukua tahadhali kubwa lakini ka ukijua ni namba chache xana ya watu WATAKAOJINASAU NA MTEGO HUO...its a BATTLE BETWEEN YOU AND SATARN...
...........................................
 
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
thanx kwa somo murua ndg Mshana but nina kaswali kidogo hua mara kadhaa naota napaa juu na kuvinjari maeneo mbalimbali ambayo siyajui kiuhalisia yani nikiamua na jump tu mara huyoo angani sasa hii situation ina maana gani na inahusiana vipi na third eye?
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] imebidi nicheke kwa kujibana hapa nilipo unajua ile kitu inaamsha hisia za mlango wa sita kupitia hilo jicho la tatu
Lakini katika mlango ule wa hisia alishajenga mawazo ya kuonana na hao watu kwahiyo kinachotokea ni kama tu mlango wa hisia kubeba ujumbe na kuupeleka kama ulivyo kwenye mlango wa sita
nnashukuru kwa post bro mimi ni miongon mwa watu wenye hasira kali na nnapokua katika hali hiyo paji la uso katikati huuma muda wote nnapokuwa na hasira je ina uhusiano na jicho la tatu?
 
Back
Top Bottom