Paji la uso na siri ya jicho la tatu

OK now tunafahamu what going there, tunachukua jukumu gani ku-prevent kizazi kijaxho kisiathirike!
Hakuna namna zaidi ya kumuomba Mungu kwa wale waamini kwakuwa hiyo kitu ni kama kansa iliyotafuna ulimwengu wote mpaka kwenye dini zetu...sasa unafikiri kuna kupona hapo?
 
Mnasema ukilala chali unaota mauzauza. Lakini mimi huwa nalala chali maisha yangu yote huwa sioti mauzauza kama mnavyoshuhudia. Ni mara chache sana kuoto mauzauza hasa nikiwa nimelala kiubavu halafu nimekunja miguu ndiyo hunitokea hiyo hali. Lakini kwa ujumla hata nikilala kifudifudi au ki ubavu nikishtuka kutoka usingizini najikuta nimelala chali. Hii hali inauhusiano gani na jicho la tatu? Halafu, nikilala chali huwa naweza kutafakari mambo yangu kwa muda mrefu bila kuingiliwa na mawazo mengine na kuvuruga jambo nililokuwa naliwaza. Mshana Jr hii inamaanisha nini mkuu? Naomba ufafanuzi wako.


Mshua
 
Ni matendo na matokeo yale yale ya mambo ya kiroho kwenye ulimwengu usioonekana, wewe yako yanafanya kazi kwa namna hiyo..una mlango wa sita wenye nguvu na ukijibidiisha kwenye tahajudi unatapa matokeo chanya zaidi
 
To some extent yeah...! Hata sasa nayaona mambo mengi tofauti na wengine waonavyo kuna wakati huwa najistukia na kukaa kimya nikiogopa kuonekana tofauti
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu usijishutukie wewe watu walisha kuona wa tofauti. Ni bora kuchimba zaidi ili uwe na uelewa mkubwa zaidi wa haya mambo. Mtu akihitaji expert wa yaha mambo uwe moja wapo
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu usijishutukie wewe watu walisha kuona wa tofauti. Ni bora kuchimba zaidi ili uwe na uelewa mkubwa zaidi wa haya mambo. Mtu akihitaji expert wa yaha mambo uwe moja wapo
[emoji87] [emoji134] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Mshana Jr tell me. Who are you? and What are you?
 

??????????????????????
Mambo mengi sana yamechakachuliwa na binadamu mwenyewe kukidhi matakwa na mahitaji ya nyakati ya kibinadamu
Kuna alama za siri nazo zimeangukia upande ambao sio..
Leo nilikuwa kuna mdau namjibu kuhusu swastika, ambayo ilikuja kuharibiwa na Hitler
Satan knows the game very well n he knows how to play perfectly
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…