Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Kuna vitabu viwili nimesoma vya Rhonda byrne kimoja kinaitwa Secret na kingine power, hivi vitabu it's like vinakuweka mtu free unaona life it's simple. Kwanza unakuwa na furaha, upendo wa hali ya juu, hofu zote zinaondoka. Vitabu vyote hivi msingi wake ni law of attraction. Thuswhy nkauliza kwa muktadha huo je kuna uhusiano. Pia hii law of attraction inakutaka ufanye visualization na imagination yaan uput in Ur mind vitu unayotaka in Ur life as if umevipata kwa kutengeneza image kwenye akili yako unavyo na unavitumia (action) na according to law utavipata ukiamini. Je visualization Ina impact gani ktk mind?
Law of attraction inaendana na msemo wa kiswahili, "aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea"...hii law of attraction uamini usiamini chochote unachokipa nafasi mawazoni mwako hukua/hutokea katika maisha yako ya uhalisia. Sasa basi zipo njia nyiingi tu za LA kuna by visualizing, by mirror, by water, by hand, by desire, by dreaming, by remembering, by writing nakadhalika...pia kuna uzi unaitwa kanuni 10 za akili na ulimwengu by Apollo mzuri sana kausome utaelewa meengi zaidi.
 
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.
Sahihi kabisa
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.
 
Law of attraction inaendana na msemo wa kiswahili, "aliwazalo mjinga ndilo linalomtokea"...hii law of attraction uamini usiamini chochote unachokipa nafasi mawazoni mwako hukua/hutokea katika maisha yako ya uhalisia. Sasa basi zipo njia nyiingi tu za LA kuna by visualizing, by mirror, by water, by hand, by desire, by dreaming, by remembering, by writing nakadhalika...pia kuna uzi unaitwa kanuni 10 za akili na ulimwengu by Apollo mzuri sana kausome utaelewa meengi zaidi.
Inasikitisha tulivyo danganyika zamani na huwo Msemo, ambako kwa kweli sio mjinga but intelligent person! Ndiyo maana wazungu wanasema 'change your mind, change your life'
 
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
Hata katika kisujudu(Muslim sijda) tunaweka paji la uso sakafuni
 
f6e63668ac1c4a88887ca94b0bd11c01.jpg


Hutaamini utakachogundua hapa kuhusu paji lako la uso...hapa ndio asili ya neno kipaji ilipatikana..hapa napo ni lango hapa ndio penye njia ya kuingilia mlango wa sita baada ya ile mitano. Hili ni jicho la ndani jicho lisioonekana.lango kuu la kiroho.

Tutaenda kwa mitazamo yote ya kidini na kiimani, kisayansi, kihisia na hata kwenye nguvu za giza.

1. Third Eye - Thalamus - Eye of Horus
c028b8f6365bdd2fb44aaf6796fdf17f.jpg


Hapa ni kwa mtazamo wa kisayansi nafikiri ni kwenye somo la anatomy kuhusu ubongo, jicho la tatu linaonekana katikati ya ubongo (zingatia katikati) vertebrate brain hapo ndio zinapozalishwa homoni za kulaza au kuamsha hisia maono usingizi nk.

2. Mathematics
22f4856d4325c03356542c3c19a96824.jpg


Katika ulimwengu wa mahesabu na hesabu, wanamahesabu kwenye ishu za ratio cos na tan watatusaidia hapa.

3. Tahjud (Meditation)
1a3f1076a0eecca2d21fb8771039a216.gif


Kwenye tahajudi wale waliosoma chakra na habari za milango nane, ukiangalia vizuri huo mchoro chakra ya sita ndio ya kuingilia mlango wa sita wa fahamu.

4. Baptism & Sijda
b23bbe047b4fed53bc8acd968bfbde9f.jpg
7581aaa5dd84dc3d74104360bf95c259.jpg


Kiimani katika ukristo, kwenye ubatizo alama ya msalaba kwenye paji la uso ndio hukamilisha tendo na kuwa Mkristo kamili sasa.. Lakini pia ukisoma kitabu cha ufunuo na habari za kutiwa Muhuri katika paji la uso utafahamu zaidi..

Kwenye Uislam tunajua nini maana na umuhimu wa swala tano na kuthibitisha uchaji wako katika swala tano ni sigida kwenye paji la uso.

5. A kiss on the Forehead
95e4888b95b1f04ef937618e752fd13d.jpg


Kwenye mahusiano busu kwenye paji la uso ni tofauti kabisa na mabusu ya sehemu nyingine yoyote.

6. FREEMASONRY
2eaa591e515e975051f9640238953750.jpg

Kwenye imani za mpinga Kristo freemason satanism nk alama yao kubwa ni jicho la tatu

7. SEVERE PUNISHMENTS (WATERBOARD)
8654ca9f3d106b3012aa7228ab664632.jpg


Kwenye adhabu na mateso mbalimbali paji la uso hutumika kuleta adha ya ajabu mwilini... Mateso ya water board ni mfano mmojawapo. Unalazwa chini unafunikwa kitambaa usoni kisha unamwagiwa maji.. Ni aina ya adhabu isiyoumiza mwili bali inayoumiza hisia.

8. Michezoni:
Kwenye mchezo wa ngumi alama za juu ni zile ambazo zinaangukia kwenye paji la uso.

Nimejaribu kwenda na picha kuokoa ufafanuzi wa maneno mengi... Tunaishi kwenye ulimwengu wa ajabu mno.. Tunashiriki kitu hicho hicho lakini kwa maana matumizi na mitizamo tofauti. Tunafundishwa kutolala chali kuepuka ndoto za mauzauza na majinamizi kumbe siri ni jicho la tatu jicho la maono.

Manabii na watenda miujiza hupenda kuwapuliza ama kuwashika watu penye paji la uso na kifuatacho hapo ni mzinga kama si kupiga kelele... Baadhi ya tiba mbadala hutumia paji la uso kama lango la uponyaji.

Wahindi na wahindu kwenye imani zao hujipaka rangi katikati ya macho kama sehemu ya ibada nk.

Jaribu kutafakari kwa hatua hiki kinachoitwa jicho la tatu, paji la uso, imani yako na maisha yako ya kila siku... Mwishowe tunaweza kujikuta tunaabudu paji la uso kwa muktadha tusiojua.
Duuh episod iliendelea? au ndo ikaishia hapo?
 
asante sana please karibu
asante kwanza nitangulize shukrani kwa elimu yako unayotupatiaga nimekuwa nikifatilia thread zako nimefanikiwa kujifunza new thing in ma life mpaka naanza ku dauti ur spirit
pia nami naomba unisaidie ktk situation hiziiii

1; nilipokuwa mdogo (4 - 7 yrs) tulikuwa tunapenda kucheza kwa makundi mnaenda mtaa mwingine sasa basi ilikuwa inatokea naokota hela shilingi mia kila siku at THE ZE SAME PLACE sasa basi ikatokea wenzangu wakakasirika basi ikifika kipind tyme ya kupita pale mm wananiweka nyuma ili wenyewe wawe wa kwanza kuiona basi kinachotokea wanakosa wenzangu but mimi naikota at different point but same place
sikumbuki io kitu ilidumu ndani ya muda gani
msaada plz kwa nn ilikuwa ivo na je mbona ilipotea??

2; pia katika kipindi cha late childhood
tulikuwa tuna chimba mashimo alafu tunaweka mawe (vijiwe tu) zen tunaimba Mungu naomba hela mara kadhaa kinachotokea yale mawe yanakuwa hela sarafu tu kipindi icho enzi za shilingi kumi, ishirini etc na kila mtu anapata kivyake basi tukiwaambia wazazi wetu hawaamini wanasema tunaiba hela ikapelekea tukapigwa marufuku kucheza michezo io
HII NI KWELI WAKUU NA MM ILISHAWAHI KUNITOKEA UKIBISHA SIKUSHIKII FIMBO baada ya muda kupita ile hali ilipotea ikawa msoto, mpaka leo sjui nini kilitokea na kwann ile kitu ilipotea msaada plz???

3 hili la mwisho ndo ninalo mpaka now
kuna hali flani ivii inatokeaga unakiona au unakisikia kitu alafu unajiuliza umeshawahi kiona wapi yaani unakuwa kama ulienda mbele ya muda ( future) afu ukarudi kwa mfano anakuja rafiki ANAVAA VILEVILE KAMA HISIA ZILIVYOKWAMBIA NA PIA ANAONGEA MANENO AMBAYO TAYARI UNAYAJUA YAANI INAKUWA KAMA TUKIO LA MAISHA LINAJIRUDIA VILE sasa nabakigi hii kitu nimekiona wapi vile baasi napotezea
moja ya kitu kilichowahi kunitokea ni kipindi naingia advance mwanzon tu niliotaga nachagua vyumba vya kulala ile ndoto sikuielewa mpaka pale nilipoingia chuo nilipokuwa natafuta hosteli ndo nikaikumbuka duuuh
msaada plz??? japo sijui ka hili swali lipo ndani ya mada ya huu uzi
 
Back
Top Bottom