Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Paji la uso na siri ya jicho la tatu

asante kwanza nitangulize shukrani kwa elimu yako unayotupatiaga nimekuwa nikifatilia thread zako nimefanikiwa kujifunza new thing in ma life mpaka naanza ku dauti ur spirit
pia nami naomba unisaidie ktk situation hiziiii

1; nilipokuwa mdogo (4 - 7 yrs) tulikuwa tunapenda kucheza kwa makundi mnaenda mtaa mwingine sasa basi ilikuwa inatokea naokota hela shilingi mia kila siku at THE ZE SAME PLACE sasa basi ikatokea wenzangu wakakasirika basi ikifika kipind tyme ya kupita pale mm wananiweka nyuma ili wenyewe wawe wa kwanza kuiona basi kinachotokea wanakosa wenzangu but mimi naikota at different point but same place
sikumbuki io kitu ilidumu ndani ya muda gani
msaada plz kwa nn ilikuwa ivo na je mbona ilipotea??

2; pia katika kipindi cha late childhood
tulikuwa tuna chimba mashimo alafu tunaweka mawe (vijiwe tu) zen tunaimba Mungu naomba hela mara kadhaa kinachotokea yale mawe yanakuwa hela sarafu tu kipindi icho enzi za shilingi kumi, ishirini etc na kila mtu anapata kivyake basi tukiwaambia wazazi wetu hawaamini wanasema tunaiba hela ikapelekea tukapigwa marufuku kucheza michezo io
HII NI KWELI WAKUU NA MM ILISHAWAHI KUNITOKEA UKIBISHA SIKUSHIKII FIMBO baada ya muda kupita ile hali ilipotea ikawa msoto, mpaka leo sjui nini kilitokea na kwann ile kitu ilipotea msaada plz???

3 hili la mwisho ndo ninalo mpaka now
kuna hali flani ivii inatokeaga unakiona au unakisikia kitu alafu unajiuliza umeshawahi kiona wapi yaani unakuwa kama ulienda mbele ya muda ( future) afu ukarudi kwa mfano anakuja rafiki ANAVAA VILEVILE KAMA HISIA ZILIVYOKWAMBIA NA PIA ANAONGEA MANENO AMBAYO TAYARI UNAYAJUA YAANI INAKUWA KAMA TUKIO LA MAISHA LINAJIRUDIA VILE sasa nabakigi hii kitu nimekiona wapi vile baasi napotezea
moja ya kitu kilichowahi kunitokea ni kipindi naingia advance mwanzon tu niliotaga nachagua vyumba vya kulala ile ndoto sikuielewa mpaka pale nilipoingia chuo nilipokuwa natafuta hosteli ndo nikaikumbuka duuuh
msaada plz??? japo sijui ka hili swali lipo ndani ya mada ya huu uzi
Aisee uko kwenye mkondo ule ule na unamiliki nguvu ambazo wengine huzipata kwa gharama kubwa ama kwa njia za kishirikina
Ni supernatural powers, power to create power to see through time, manabii na watabiri wengi huhitaji sana hiki kipawa.. Unahitaji meditation kidogo tu ku trigger hiki kipawa
Hebu naomba utafute hiki kitabu
Alana01.jpg
the-girl-from-tomorrow.jpg
 
Daaaaah..nashukuru sana braza kwa kuleta udhi huu..binafsi nimekuwa mtu ninaefuatiia mambo makubwa sana hata yale ambayo sina uwezo nayo..kitu kikubwa kinachonisukuma ni kutaka kujua kwanin hawa illuminant na freemasonry wanavolitumia jicgo la tatu katk kuona mbali...kiukweli wale jamaa wanauwezo wa kusense kitu kitakachotokea hata miaka mia moja ijayo kwa kutumia taswira angavu yenye uwezo ya kuyajua mawazo yako hata kabla hujaamua jambo..ndio maan waliowengi waliokatka mtandao wa freemasonry na illuminat wanapogundua kuwa wapo katika njia mbovu yenye laana kubwa badae wakitaka kutoka kundini wanakufa mapema hata kabla ya kutimiza ndoto zao za kujikomboa katika ukanda wa satarnic worship ....nitawaeleza kwanini hii inatokea....kwanza kabisa ikumbukwe kuwa mwanadamu unapozaliwa ,hekia yako,ufahamu na maalifa yako yote yapo controlled under pineal gland located near the base of pituitary gland...this is the mainly gland the control circadian rythm withrespect to body morphology under specific objectives to bring the body at any deviated conditions....hii tezi(pineal gland) ndiyo inayoatoa vichochezi maalumu vinavoamsha hali ya meditation in relation to will power to do something....lakin rate ya utoaji wa hormens hizi hupunga kadri umri unavozid kwenda...nikimanisha kuwa mtoto mdogo anareceive high input on neuroawerenes kuliko mtu mzima simply bcoz your pineal gland stimulation is minimumly to decline....yan upeo wa jicho angavu la 3 hupungua zaid kuliko hali yake na kadri pineal gland inavotoa stimulation za kutosha ndipo neurofunction inkuwa kubwa sana in relation to mind and will power....yan inasemekana mtoto ndgo anaupeo mkubwa wa kusense hata mapepo kuliko mtu mzima kwan neuroinput ni kubwa kwake kuliko mtu mzima.

Ndo mana kuna wakatimwingine mtoto anaweza lia usiku wa manane kuashiria danger cituation lakin kwa kuwa mtu mzima unareceive low pineal gland input ndo manaa will powee inakuwa ndogo katika kjua nyakati na majira mazuri na mabaya....

Katika utafiti huo uliofanywa na illuminant katka kuicontrol dunia(watu) ni pamoja na kuzuia au kutokomeza kabisa uwezo wa kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu la mwanadamu linalomuwezesha kujua nyakati na majira yaliyokatika nuru na giza ..
Wamekuja na mpango wa kutokomeza uwezo wa kusisimua uwezo wa pineal gland kutoa vichocheo vinavyoliwezesha jicho la tatu kuona mbali..ndo mana illuminant wanalitegemea kama taaa imulikayo mbali katika kufanya maamuzi yao....

Wamebuni ni sumu gani watakayompandikizia mwanadamu ili iweze kupunguza uwezo wa kuamsha hisia za jicho la tatu...??

1.) Wamegundua kuwa sumu iliyopekee kuwa na uwezo wa kushambulia kwa kasi pineal gland ni FLOURIN and CHLORINE FREE RADICALS..ambazo ndio sumu hatari sana katka kutokomeza hali hiyo..free radicals ni sumu ambazo huzuia hormones au utendaji kazi mzuri wa pineal gland mwilini hivyo bas vikiwa vinaingizwa mwilini kila siku vitaharakisha kuzuia au kukata kabsa the release of SEROTONIN HORMONES ambazo ndio kiini cha usingizi na MEDITATION KATIKA MAISHA YA MWANADAMU...kama mtu atakosa vichocheo hivyo hakika hataweza pata usingizi utakaopelekea kuamsha hisia za uwezo wa jicho la tatu....ndo mana kadri unavozidi kuwa na umri mkubwa ndipo mudawa kulala unapungua zaidi( unachelewa kulala lakini pia unawahi kuamka) ni tofaut na watoto wadogo...so FLOURIN na CHLORIN FREE RADICALS zimewekwa katika dawa za meno ambazo kila mwanadamu anakla kila siku..ndo mana kizazi cha sasa hivi uwezo wa kufikiri unapungua simply bcoz of free radicals flourin and chlorin...ndo mana watalamu wanasema unapopiga mswaki usimze dawa ile..wana maana yake japo its so sectet to rescure few people..

2.) Wanatumia mionzi ya simu,x rayz na mionzi mingine kupiga katka pineal gland ili kuharibu serotonin production ambayo ndio msing mkubwa wa kuamsha jicho la tatu ambalo ndio KIINI CHA KUJUA SIRI ZOTE ZA TECHNOLOGY YOTE NA HATA UWEZO WA KUJUA MAMBO YOTE YALIYO KATIKA NURU NA GIZA..upungufu wa utendaji kazi wa pineal gland unamfanya mwanadam awe na uwezo mdogo sana wa kufikiri mambo makubwa...ukitaka kuaminin jaribu kujiuliza hivi ni kwanini kadri siku zinavozidi kwenda uwezo wa kufikiri wa mwanadamu unapungua lakini discoveries zinaongezeka..??

Technology inakuwa kwa kasi simply becouse operators wanatumia jicho la tatu under ALLIENS TECHNOLOGY IMPLANT inayotumia jicho la tatu..mwanadamu anafanya kazi ya kuasemble vifaaaa tu na sio kutengeneza....

That is the big secret kwa wachache lakini ila tuliowengi hatujui how technology inversion inavokuwa....

So my dear brothers and sisterz kuna umuhimu mkubwa sana wa kujua kulitumia jicho la tatu yan ukiweza thibit upotezo wa nguvu za kuliamsha jicho hilo hakika unaweza ukajihisi kuwa wew ni nabiii kumbe ni namna ulivoweza thibit impacts of free radicalson your pineal gland.....

ZIJUE NYAKATI NA MAJIRA KATIKA KUUTAMBUA ULIMWENGU LAKINI HAKIKA HAUTAWEZA MPAKA UJUE NAMNA JICHO LA TATU LILIVYOKUWA NA UWEZO WA KUKUPA UWEZO HUO..

..AMINAAAA
Ifanye hii iwe thread, ili users wengi waione mana ina detailed information nyng na muhimu. ikbak kama comment sio rahisi kuipata
 
Aisee uko kwenye mkondo ule ule na unamiliki nguvu ambazo wengine huzipata kwa gharama kubwa ama kwa njia za kishirikina
Ni supernatural powers, power to create power to see through time, manabii na watabiri wengi huhitaji sana hiki kipawa.. Unahitaji meditation kidogo tu ku trigger hiki kipawa
Hebu naomba utafute hiki kitabuView attachment 497207View attachment 497208
ntakipata wapi mkuu
 
Mmh jaribu eBay mimi nilikisoma nje ya nchi
Mshana napenda sana mada zako na Mimi nataka kuliamsha jicho la tatu bila uchawi. Jana mchana nilikua nasikiliza ushuhuda wa mtu aliyetoka kuzimu. Nilikuwa nimelala chali nikatamani kujua yanayojiri huko, ghafla nikapotelea usingizini ndotoni nikaona MTU aliye lala dada moja akamgusa pua nikamuuliza mbona unafanya hivyo akasema suburi uone wewe c unataka kushuhudia, ghafla nikajiona napaa yani najielewa kabisa nikaanza kuogopa ila nkajikaza nione itakuaje nikiwa angani nikaona uwazi (tambarare) ambapo natakiwa nishuke duh! Hofu ikazidi nikaanza kumwita Yesu ingawa sauti ilikua inatoka kwa shida sana. Nilipoita tu nikagota ila bado hewani kuna nguvu inaniambia niendelee ila naogopa basi hofu ikazidi hadi nikaona Yesu haitoshi nikaita Yesu Kristo wa nazareti sauti ikitoka kwa shida ghafla nikazinduka usingizini nikihema kwa kasi nikihisi jasho nikaenda kunawa uso maji yalipochuruzika puani nikahisi kamkwaruzo puani palepale yule dada alipomgusa yule mtu aliye lala. Sasa sijui safari ilikua ya heri au la? naogopa nisije kupotelea usingizini. Tena zamani nilikua siwezi kulala chali nitaota ndoto mbaya napambana na wachawi au majitu ya ajabuajabu au nakabwa mpaka naamshwa so nikabadili staili ya kulala ila nilipoamua hili zoezi mwezi uliopita nilianza kulala na biblia kifuani mpaka Leo sipati hayo mauzauza tena. So nishauri jinsi ya kufanikisha hili.
Hata katika kisujudu(Muslim sijda) tunaweka paji la uso sakafuni

Ifanye hii iwe thread, ili users wengi waione mana ina detailed information nyng na muhimu. ikbak kama comment sio rahisi kuipata
 
Mshana napenda sana mada zako na Mimi nataka kuliamsha jicho la tatu bila uchawi. Jana mchana nilikua nasikiliza ushuhuda wa mtu aliyetoka kuzimu. Nilikuwa nimelala chali nikatamani kujua yanayojiri huko, ghafla nikapotelea usingizini ndotoni nikaona MTU aliye lala dada moja akamgusa pua nikamuuliza mbona unafanya hivyo akasema suburi uone wewe c unataka kushuhudia, ghafla nikajiona napaa yani najielewa kabisa nikaanza kuogopa ila nkajikaza nione itakuaje nikiwa angani nikaona uwazi (tambarare) ambapo natakiwa nishuke duh! Hofu ikazidi nikaanza kumwita Yesu ingawa sauti ilikua inatoka kwa shida sana. Nilipoita tu nikagota ila bado hewani kuna nguvu inaniambia niendelee ila naogopa basi hofu ikazidi hadi nikaona Yesu haitoshi nikaita Yesu Kristo wa nazareti sauti ikitoka kwa shida ghafla nikazinduka usingizini nikihema kwa kasi nikihisi jasho nikaenda kunawa uso maji yalipochuruzika puani nikahisi kamkwaruzo puani palepale yule dada alipomgusa yule mtu aliye lala. Sasa sijui safari ilikua ya heri au la? naogopa nisije kupotelea usingizini. Tena zamani nilikua siwezi kulala chali nitaota ndoto mbaya napambana na wachawi au majitu ya ajabuajabu au nakabwa mpaka naamshwa so nikabadili staili ya kulala ila nilipoamua hili zoezi mwezi uliopita nilianza kulala na biblia kifuani mpaka Leo sipati hayo mauzauza tena. So nishauri jinsi ya kufanikisha hili.
Mshana naomba ushauri wako [emoji115]
 
Aisee uko kwenye mkondo ule ule na unamiliki nguvu ambazo wengine huzipata kwa gharama kubwa ama kwa njia za kishirikina
Ni supernatural powers, power to create power to see through time, manabii na watabiri wengi huhitaji sana hiki kipawa.. Unahitaji meditation kidogo tu ku trigger hiki kipawa
Hebu naomba utafute hiki kitabuView attachment 497207View attachment 497208
najaribu kukitafuta hapa @goodread
 
Back
Top Bottom