AnarelaxHawa paka wakishazoea chakula cha kuwapa hawakamati panya.
Unaweza ukakakuta sebuleni kamejisinzilisha kwenye Kona ya sofa[emoji38][emoji38][emoji38]Mbwa siku zote hua ana behave Kama mtumwa lakin Paka yeye anajionaga Don.
Ndo maana wanasema hamna rafiki mzuri Kama mbwa lakin sio li Paka
W e imauzi tayar
Mkuu nakuelewa.Siku yakikukuta ndio utarudi hapa kupigia mstari nilichoandika Mkuu
Mzee wa kyerwa upoUnamchonganisha Paka
Haa HaaMzee wa kyerwa upo
Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Anatembea kifua mbele kabisa...[emoji4]Mbwa siku zote hua ana behave Kama mtumwa lakin Paka yeye anajionaga Don.
Ndo maana wanasema hamna rafiki mzuri Kama mbwa lakin sio li Paka
[emoji2]Tena kamejifunika blanketUnaweza ukakakuta sebuleni kamejisinzilisha kwenye Kona ya sofa[emoji38][emoji38][emoji38]
TrueHawa paka wakishazoea chakula cha kuwapa hawakamati panya.
KUIGA MAMBO YA WAZUNGU.Kuiga mambo ya wazungu tu!!
Kwamba paka anaelewa kihindi ila jamaa kang'ang'ana tu pussy, nyau hahahJumamosi nilitoka na jamaa flani kwenda kwa Mhindi mmiliki wa kampuni flani kubwa. Baada ya kazi yetu tunataka kuondoka wafanyakazi wakatuita tule, sasa tumekaa sebuleni na paka yuko pale pale hasogei wala hatuachii seat kama paka wa kwetu uswahilini. Yule jamaa akamfukuza ila paka hatishiki nikamkaripia yule bro nikamkumbusha yule paka yuko kwao sisi ndio walugaluga tumedowea tu msosi. Paka mwenyewe anaelewa Kihindi afu jamaa anamuita pussy, nyau wala harespond
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Angalia huyo paka asije kuwa ni mume mwenzio au mkweo analamba binti yako.