Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Weeeee, wale mabwege wameumbwa na GPS tracking system. Kuna paka tulimtia katika kiroba tukatoka nae tabata st. Mary kule tukaenda mtupa kule kwenye daraja la kinyerezi kiroba kikiwa wazi ili aweze kutoka.
Yule fala wiki kadhaa baadae akarejea tena safari hii akiwa na demu na akaja wakazaa watoto.
Paka wapumbavu sana hawa wanyama [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]