Paka kuchukuliwa kama mwanafamilia kwa kutengewa bajeti yake, inakubalika?

Paka kuchukuliwa kama mwanafamilia kwa kutengewa bajeti yake, inakubalika?

Jumamosi nilitoka na jamaa flani kwenda kwa Mhindi mmiliki wa kampuni flani kubwa. Baada ya kazi yetu tunataka kuondoka wafanyakazi wakatuita tule, sasa tumekaa sebuleni na paka yuko pale pale hasogei wala hatuachii seat kama paka wa kwetu uswahilini. Yule jamaa akamfukuza ila paka hatishiki nikamkaripia yule bro nikamkumbusha yule paka yuko kwao sisi ndio walugaluga tumedowea tu msosi. Paka mwenyewe anaelewa Kihindi afu jamaa anamuita pussy, nyau wala harespond
Paka yule ana confidence balaa yani unamtofautisha na paka wetu. Jamaa kamtishia kamfukuza ila wapi, mi nimeitwa nikarekebishe kitu narudi nakuta jamaa analazimisha paka atoke. Ni wale watu hawana exposure unamuita aje kukusaidia kazi za kutumwa. Haelewi thamani ya paka kwa boss, walipokuja wenyewe wakaongea Kihindi akawafuata
 
Paka yule ana confidence balaa yani unamtofautisha na paka wetu. Jamaa kamtishia kamfukuza ila wapi, mi nimeitwa nikarekebishe kitu narudi nakuta jamaa analazimisha paka atoke. Ni wale watu hawana exposure unamuita aje kukusaidia kazi za kutumwa. Haelewi thamani ya paka kwa boss, walipokuja wenyewe wakaongea Kihindi akawafuata
Sawa kabisa kukosa exposure halafu ujuaji mwingi , Mwingine humu anasema ana master degree halafu anachangaika hoja mbaya kuhusu paka, kumbe Hana exposure na hajui lolote
 
Oya mashua umekuja kunishitaki huku jf au sio?
20211013_091647.jpg
 
Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.

Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.

Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.

Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.

ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.

Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k

Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji

Hii imekaaje
Paka mnyama mzuri sana
 
Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.

Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.

Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.

Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.

ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.

Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k

Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji

Hii imekaaje
Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Safi kabisa, baba anafikiri anachokipenda yeye na familia itakipenda, kutunza familia siyo chakula na mavazi tu. Hata kuheshimu na kujali hobbies za wanafamilia ni sehemu ya majukumu ya baba, utakuta wengine wanachinja wanyama nyumbani huku watoto wanaona na wanaanza kulia sana, sababu wanawapenda wanyama. Watanzania wengi hawana elimu kuhusu tabia za viumbe na ndiyo maana bundi na paka wanahusishwa na Imani potofu za kishirikina.
Kuna kipindi niliona rais wa Ireland anahojiwa nje ya nyumba yake uwanjani anakocheza na mbwa. Rais yuko anahutubia mbwa yuko anamvuta anamuonesha mpira ili wacheze, rais hakumfukuza wala kukerwa na raia walipenda.

Raia wanajua yule mbwa wa rais wao ana wivu hata wakija wageni wa kimataifa hapendi wapewe attention zaidi yake. Anataka yeye ndio awe karibu na rais. Wazungu wanaamini ukipendwa na wanyama unakuwa na roho nzuri. Huwezi kuwa unapiga mawe mbwa ukawa na utu. Humanity inaakisiwa kwa unavyowatreat wanyama
 
Kuna kipindi niliona rais wa Ireland anahojiwa nje ya nyumba yake uwanjani anakocheza na mbwa. Rais yuko anahutubia mbwa yuko anamvuta anamuonesha mpira ili wacheze, rais hakumfukuza wala kukerwa na raia walipenda.

Raia wanajua yule mbwa wa rais wao ana wivu hata wakija wageni wa kimataifa hapendi wapewe attention zaidi yake. Anataka yeye ndio awe karibu na rais. Wazungu wanaamini ukipendwa na wanyama unakuwa na roho nzuri. Huwezi kuwa unapiga mawe mbwa ukawa na utu. Humanity inaakisiwa kwa unavyowatreat wanyama
Kweli kabisa, tabia ya kuonea viumbe wadogo ni matokeo ya kuongezeka ukatili duniani
 
Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nimebaki na mama yao tuu, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
 
Imeniuma kutupa watoto wake
Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nimebaki na mama yao tuu, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
 
Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nimebaki na mama yao tuu, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
Dah usingewatupa jamani
 
Paka wetu hua anakula pale tunapokula hana bajeti maalum, mda mwingine namnyima chakula akamate panya maana wanasumbua sana, nyumba bado kupiga gypsum,
Kibaya zaidi kajifungua watoto mapacha watatu nimevumilia sana juzi nikaenda kuwatupa mbali nibaki na mama yao tu u, usawa mgumu huu hakuna bajeti yao
Inasikitisha na kuhuzunisha,umefanya kitendo kibaya sana kuwatenganisha watoto wa Paka na Mama yao tena wakiwa wadogo na wanahitaji kunyonya na kua chini ya uangalizi wa Mama yao,ni bora ungesubiri wakakua kwanza.
 
Back
Top Bottom