Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuna ngozi huyo paka kawauzie Wachina, kama nyumba haina panya hakuna sababu ya kukaa na paka.....hana faida hata kidogo.Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Una kiwango gani cha elimuMtafuga na majini bure
Mimi kwangu sifugi mnyama tofauti na mbuzi,ng'ombe na kuku.
Una kiwango gani cha elimuChuna ngozi huyo paka kawauzie Wachina, kama nyumba haina panya hakuna sababu ya kukaa na paka.....hana faida hata kidogo.
Safi kabisa, baba anafikiri anachokipenda yeye na familia itakipenda, kutunza familia siyo chakula na mavazi tu. Hata kuheshimu na kujali hobbies za wanafamilia ni sehemu ya majukumu ya baba, utakuta wengine wanachinja wanyama nyumbani huku watoto wanaona na wanaanza kulia sana, sababu wanawapenda wanyama. Watanzania wengi hawana elimu kuhusu tabia za viumbe na ndiyo maana bundi na paka wanahusishwa na Imani potofu za kishirikina.Kama uwezo wa kumhudumia unao, Basi kubali aendelee kufugwa.
Yawezekana huoni faida yake lakini haujajua kuwa furaha inayopatikana ndani ya ndoa yako imekamilika kupitia paka huyo.
Humtaki paka kwa kuwa ndani mwako hamna panya?
Kazi ya paka siyo kukamata panya tu, Penye paka huwezi muona nyoka.
NOTE: Kama matunzo ya paka huyo yana gharama kubwa basi mshauri mkeo kwa busara apunguze bajeti kwa paka huyo, Maana ukitumia mabavu ukamuondoa paka ujue watoto wako na mkeo watakuchukia na huo ndo utakuwa mwanzo ndoa yako kuparaganyika.
Hahaa. Jf bwana!Angalia huyo paka asije kuwa ni mume mwenzio au mkweo analamba binti yako.
Ongea na wife na watoto mpate suluhisho. Mwambie ukweli wako unavyofikiri.Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Sijaenda shule kabisaUna kiwango gani cha elimu
Hakika mkuu kwa waswahili paka mweusi na bundi anaonekana ni msala lkn kiuhalisia hawa viumbe ni wazuri kudhibiti wadudu hatari ndani ya nyumba tunahitaji elimu kuhusu hawa wanyamaSafi kabisa, baba anafikiri anachokipenda yeye na familia itakipenda, kutunza familia siyo chakula na mavazi tu. Hata kuheshimu na kujali hobbies za wanafamilia ni sehemu ya majukumu ya baba, utakuta wengine wanachinja wanyama nyumbani huku watoto wanaona na wanaanza kulia sana, sababu wanawapenda wanyama. Watanzania wengi hawana elimu kuhusu tabia za viumbe na ndiyo maana bundi na paka wanahusishwa na Imani potofu za kishirikina.
Master's DegreeUna kiwango gani cha elimu
Hausumbuliwi na panya kwa sababu paka yupo,waenga sio wajinga walisema "paka akitoka(kuondolewa au kufa)panya utawala "Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Mnyama yeyote afugwae ni mmoja ya familia, kinachofanyika hapo kwako ni jambo jema sana na lakiimani sana kuhudumia mfugo ni wajibu na ni sehemu ya jukumu letu wanadamu, nikuombe tu usivunjike moyo wasapoti wanafamilia kwa hilo la kupenda wanyama na uwekeze ktk kuwajali na kuwatizama vyema.Kuna paka na mbwa hapa nyumbani kwangu, Sina tatizo na gharama za mbwa kwa sababu ana msaada kiasi kwenye swala la ulinzi.
Kwa huyu paka huwa inanifikirisha sana maana hatuna tatizo la panya ila watoto wangu kwa kuwa wanapenda paka nikaamua niwarusu wamfuge.
Kimbembe kipo huku mama yao (mke wangu) amekuwa akiteketeza pesa kwenye matumizi ya huyo paka.
Bili ya maziwa imeongezeka kwa sababu paka nae anahesabiwa, anapewa maziwa asubuhi na jioni.
ananunuliwa samaki hawa wadogo wadogo kama chakula.
Matibabu nayo baada ya miezi kadhaa check up, n.k
Kuna paka waliwahi kumfuga ila alikufa, haikuchukua hata siku 2 akaletwa mwengine, Kiukeli hawa paka kazi pekee wanayojua ni kupumzika na kujizungusha chini ya miguu, Mbaya zaidi wanahisi wanakutawala ukiwaendekeza kuwapa wanachohitaji
Hii imekaaje
Usiwe unachangia Mada zilizokuzidi uwezo, unaonekana kitukoSijaenda shule kabisa
Haina faida yeyote kwa jamii, ulipoteza muda na rasilimali. Umefanikiwa kuwa na uelewa finyuMaster's Degree