Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?



Nyota yako ni ya Paka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena paka wanapenda kutiana hao hatare, na style zao km binadamu vile,
Kalikua ka mwanafunzi nini, kamepotezewa future yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena paka wanapenda kutiana hao hatare, na style zao km binadamu vile,
Kalikua ka mwanafunzi nini, kamepotezewa future yake.
Eenh wanapenda kubanjuana ndio maana wamekapa mimba mapema bado kanasoma form two,

Si ajabu sie wanaadam ndio tumeiga styles zao.

[emoji23][emoji23]
 
Binafsi nawapenda paka, wana hisia flani hivi za kweli na wanapenda sana urafiki na binadamu.

Kuna paka mmoja walizaa watoto wapi huko sijui, wale watoto wakaja kwenye chumba changu. Wakawa wakimsikia mama yao wanajifucha hawataki kwenda. Yule mama paka akaanza kuni-mind akidhani labda nimewarubuni mabinti zake. Alikuwa akija usiku anapiga makelele huyo, anakwangua dirisha hadi sio poa.

Nakumbuka nilifungua hadi uzi humu chit chat kujaribu kumueleza mama paka kuwa hao binti zake wamekuja wenyewe.
 
Kwasisi tunaoishi maeneo ya mashamba paka ni walinzi wa viumbe wadogo wadogo kama nyoka na kadhalika, ingawa paka akiingia ndani anapenda sana uboss ndio maana hawaelewani na mbwa
Kuna mtu alisema nyumba kukiwa na Paka na Mbwa basi Paka humuona Mbwa kama mnyama na yeye binaadam,

Kwa uboss upo sahihi wao hujiona ni wana familia kabisa.
 
Wallah nimecheka mnooo, kwa hiyo Mama Paka akahisi umewarubuni binti zake [emoji3][emoji3]
sasa na wewe uliishi nao vipi Paka wadogo ulikua unawalisha nini?
 
Wallah nimecheka mnooo, kwa hiyo Mama Paka akahisi umewarubuni binti zake [emoji3][emoji3]
sasa na wewe uliishi nao vipi Paka wadogo ulikua unawalisha nini?
Nilikuwa nawalisha ninachokula. kuna naye mwingine alikuwa ni paka wa jirani alikuwa mjamzito, alipoona anakaribia kujifungua akahamia kwangu mpaka akajifungua.

Paka wana tabia za ajabu sana.
 
Nilikuwa nawalisha ninachokula. kuna naye mwingine alikuwa ni paka wa jirani alikuwa mjamzito, alipoona anakaribia kujifungua akahamia kwangu mpaka akajifungua.

Paka wana tabia za ajabu sana.
Paka ni Mnyama anayependa raha kuliko wanyama wote duniani ndio maana huishi/humfata mtu anayewapenda hapendi shida maisha yake,

Sio loyal kama mbwa, siku akiona changes kwako ataondoka na huko aendako akizinguliwa atarudi na hakuna kitu utamfanya,[emoji23]
 
Labda harufu ya manukato unayotumia nyumbani na nkuvaa inawavutia paka
 
Hakika mkuu, ila mi nawapenda maana they are so cute...

Ukiwa free mnacheza wee, na ukimtizama usoni unaona kabisa anafurahia.😂

Akiwa amepumzika zake uanze kumsumbua utaona anamind, anakuwa anakutishia na vimikono vyake..😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…