Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

Paka kunifatafata ni jambo la kawaida?

Dream Queen waache tu, Kama una weza watembee mema Kama kuwapa chakula na maziwa.

Binadamu na wanyama tuna nguvu fulani, ziki kutana Wana jua huyu ni mwema au mbaya.
Kama ungekuwa mbaya wange kuogopa, au kukudhuru.

treat them good, and you will thank me later.

Nafuga paka na wadudu wengine pia, na zaidi wana energy fulani hivi nzuri kimazingira.
 
Kwa Hizo comment zenu za roho nzuri,nimekubali Mimi ni certified roho mbaya.....Sio tu kuwapenda sipendi hata kuwaona hao wadudu ....wanyama waroho utasema Nini sijui wanakuangalia machoni ukiinua kipaja Hadi unavyotafuna Hadi unavyomeza ndio Nini sasa,!
 
Dream Queen waache tu, Kama una weza watembee mema Kama kuwapa chakula na maziwa.

Binadamu na wanyama tuna nguvu fulani, ziki kutana Wana jua huyu ni mwema au mbaya.
Kama ungekuwa mbaya wange kuogopa, au kukudhuru.

treat them good, and you will thank me later.

Nafuga paka na wadudu wengine pia, na zaidi wana energy fulani hivi nzuri kimazingira.
Ahsante mwaya, kuna mtu alisema personality yangu ni Cat Person nimeamini, nimeishia kua mfugaji wa Paka mzuri na nina watunza sana,

Nimewaza nifanye project wa kuwarescue Paka wa mitaani hasa Paka wadogo na wenye mimba kisha niwapatie Shelter, napenda sana Wanyama, napenda zaidi Paka.
 
Kwa Hizo comment zenu za roho nzuri,nimekubali Mimi ni certified roho mbaya.....Sio tu kuwapenda sipendi hata kuwaona hao wadudu ....wanyama waroho utasema Nini sijui wanakuangalia machoni ukiinua kipaja Hadi unavyotafuna Hadi unavyomeza ndio Nini sasa,!
Pole sana, it's okay kama wewe sio a Catperson labda ni a Dogperson, kikubwa tu usiwadhuru sheria yasema jela miezi 6 na faini juu. [emoji38]
 
Pole sana, it's okay kama wewe sio a Catperson labda ni a Dogperson, kikubwa tu usiwadhuru sheria yasema jela miezi 6 na faini juu. [emoji38]
Dog no noooo nooo huyo muuaji mkubwa alimuua Mzee kingunge...Mfugo pekee naupenda ni Sungura,,,yaaani hata akichinjwa Siwezi kula nyama yake Hadi naingia kaburini......Paka ananijua yaani nikimkata tu jicho Moja anakaa Mita mia 200 kama kituo Cha uchaguzi na wanachadema...
 
Dog no noooo nooo huyo muuaji mkubwa alimuua Mzee kingunge...Mfugo pekee naupenda ni Sungura,,,yaaani hata akichinjwa Siwezi kula nyama yake Hadi naingia kaburini......Paka ananijua yaani nikimkata tu jicho Moja anakaa Mita mia 200 kama kituo Cha uchaguzi na wanachadema...
😂😂😂😂, hiyo ndo asili yako bibie, acha uoga. Eti Mzee kingunge😂
 
Ahsante mwaya, kuna mtu alisema personality yangu ni Cat Person nimeamini, nimeishia kua mfugaji wa Paka mzuri na nina watunza sana,

Nimewaza nifanye project wa kuwarescue Paka wa mitaani hasa Paka wadogo na wenye mimba kisha niwapatie Shelter, napenda sana Wanyama, napenda zaidi Paka.
Yah ita pendeza sana, uki fikisha Hata paka 50.
Nita kutafutia wateja wa kununua, paka ni viumbe fulani wazuri.
 
Habari zenu waungwana wa humu ndani,

Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka kidogo nikawa nampa chakula baadae kikaanza kuingia ndani, haikua rahisi kwa wazazi kumpokea lakini baadae wakampokea, basi tuliishi nae hadi alipofariki, baadae kakaja kengine kadogo nikakachukua pia, alikulia pale, akazaa, akafariki akaacha mtoto akakua pale mimi niliondoka baadae akaja kufariki,

Nilipohamia, ile nyumba nilikuta wapangaji wawili na mimi nikawa watatu, baada ya wiki kadhaa tangu nihamie wakaja paka watatu, wakaanza kuweka kambi eneo langu, wenzangu waliwafukuza lakini haikufua dafu, walishangaa kabla hawakuwahi kufatwa na hao Paka, nikaamua tu niwe nawapa chakula, mpaka siku moja asubuhi Paka mmoja alifariki mbele ya macho yangu nahisi aliwekewa sumu, nikahama hilo eneo kwa sababu zangu sio kwa ajili ya Paka,

Nilipohamia napo akaja kipaka kidogo kikaanza mazoea na mimi, Mbwa walikua wanamsumbua nikawa namsaidia wasimguse na kumpa chakula pia, sikukaa sana eneo hilo nikahama kutoka wilaya moja kwenda nyingine,

Nyumba niliyohamia, mwenye nyumba aliishi eneo hilo pia,alikua anafuga Paka, baada ya muda kidogo yule Paka akaanza kuja kwangu, akawa kwao haendi kabisaa anashinda na kulala kwenye baraza yangu, mwenye nyumba akahuzunika kama vile nimemteka Paka wake lakini haikuwezekana kumtoa , alipata Mimba akajifungua akaacha watoto kwao akawa anashinda kwangu tu, hadi nilipohama eneo hilo,

Nilipohamia napo nikakuta mpangaji mmoja ana Paka wake mzuri Maa shaa Allah, heeeh akaanza kuja kwangu, nikimpa chakula anakula lakini cha kwao hali, sikukaa sana hapo nikahama.

Hapa nilipohamia sasa hivi mmh, mwezi mmoja umepita kwa amani, sasa nikashangaa siku moja asubuhi naamshwa na sauti za Paka, nafungua mlango asalaleee nakuta vipaka vitatu vimejitandaza barazani kwangu havina habari, nikatoka wawili wakakimbia mmoja akabaki, sasa imekua utaratibu wao wapita nyumba zoote wanakuja kwangu kuweka kambi hawa nimesema siwapi chakula tuone kama wataishi,

Lakini nimejiuliza sana, kwanini Paka wananipenda na kunifata? Kuna nini nyuma ya pazia? Na hii sio tu kwa nyumba nilizoishi hata nyumba yoyote yenye Paka nikifika tu lazima anizoee au hata njiani nikikutana na Paka hawezi nikimbia atasimama na ku meow,

Nini hii jamani?

View attachment 1510235
Juzi mapaka yalikuja yakawa yanalia Lia Sanaa usiku wa manane kwenye hiyo nyumba kesho kutwa yake jion mwenye nyumba kafarik...

Mapaka Yana Siri kubwa Sana kwenye ulimwengu wa Giza..

Vipi kiuchumi,kimaendeleo,kimausiano??

NB.
PENGINE WEWE NI MKARIMU NA MWENYE UPENDO KWA WANYAMA
 
Habari zenu waungwana wa humu ndani,

Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka kidogo nikawa nampa chakula baadae kikaanza kuingia ndani, haikua rahisi kwa wazazi kumpokea lakini baadae wakampokea, basi tuliishi nae hadi alipofariki, baadae kakaja kengine kadogo nikakachukua pia, alikulia pale, akazaa, akafariki akaacha mtoto akakua pale mimi niliondoka baadae akaja kufariki,

Nilipohamia, ile nyumba nilikuta wapangaji wawili na mimi nikawa watatu, baada ya wiki kadhaa tangu nihamie wakaja paka watatu, wakaanza kuweka kambi eneo langu, wenzangu waliwafukuza lakini haikufua dafu, walishangaa kabla hawakuwahi kufatwa na hao Paka, nikaamua tu niwe nawapa chakula, mpaka siku moja asubuhi Paka mmoja alifariki mbele ya macho yangu nahisi aliwekewa sumu, nikahama hilo eneo kwa sababu zangu sio kwa ajili ya Paka,

Nilipohamia napo akaja kipaka kidogo kikaanza mazoea na mimi, Mbwa walikua wanamsumbua nikawa namsaidia wasimguse na kumpa chakula pia, sikukaa sana eneo hilo nikahama kutoka wilaya moja kwenda nyingine,

Nyumba niliyohamia, mwenye nyumba aliishi eneo hilo pia,alikua anafuga Paka, baada ya muda kidogo yule Paka akaanza kuja kwangu, akawa kwao haendi kabisaa anashinda na kulala kwenye baraza yangu, mwenye nyumba akahuzunika kama vile nimemteka Paka wake lakini haikuwezekana kumtoa , alipata Mimba akajifungua akaacha watoto kwao akawa anashinda kwangu tu, hadi nilipohama eneo hilo,

Nilipohamia napo nikakuta mpangaji mmoja ana Paka wake mzuri Maa shaa Allah, heeeh akaanza kuja kwangu, nikimpa chakula anakula lakini cha kwao hali, sikukaa sana hapo nikahama.

Hapa nilipohamia sasa hivi mmh, mwezi mmoja umepita kwa amani, sasa nikashangaa siku moja asubuhi naamshwa na sauti za Paka, nafungua mlango asalaleee nakuta vipaka vitatu vimejitandaza barazani kwangu havina habari, nikatoka wawili wakakimbia mmoja akabaki, sasa imekua utaratibu wao wapita nyumba zoote wanakuja kwangu kuweka kambi hawa nimesema siwapi chakula tuone kama wataishi,

Lakini nimejiuliza sana, kwanini Paka wananipenda na kunifata? Kuna nini nyuma ya pazia? Na hii sio tu kwa nyumba nilizoishi hata nyumba yoyote yenye Paka nikifika tu lazima anizoee au hata njiani nikikutana na Paka hawezi nikimbia atasimama na ku meow,

Nini hii jamani?

View attachment 1510235
 
Habari zenu waungwana wa humu ndani,

Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka kidogo nikawa nampa chakula baadae kikaanza kuingia ndani, haikua rahisi kwa wazazi kumpokea lakini baadae wakampokea, basi tuliishi nae hadi alipofariki, baadae kakaja kengine kadogo nikakachukua pia, alikulia pale, akazaa, akafariki akaacha mtoto akakua pale mimi niliondoka baadae akaja kufariki,

Nilipohamia, ile nyumba nilikuta wapangaji wawili na mimi nikawa watatu, baada ya wiki kadhaa tangu nihamie wakaja paka watatu, wakaanza kuweka kambi eneo langu, wenzangu waliwafukuza lakini haikufua dafu, walishangaa kabla hawakuwahi kufatwa na hao Paka, nikaamua tu niwe nawapa chakula, mpaka siku moja asubuhi Paka mmoja alifariki mbele ya macho yangu nahisi aliwekewa sumu, nikahama hilo eneo kwa sababu zangu sio kwa ajili ya Paka,

Nilipohamia napo akaja kipaka kidogo kikaanza mazoea na mimi, Mbwa walikua wanamsumbua nikawa namsaidia wasimguse na kumpa chakula pia, sikukaa sana eneo hilo nikahama kutoka wilaya moja kwenda nyingine,

Nyumba niliyohamia, mwenye nyumba aliishi eneo hilo pia,alikua anafuga Paka, baada ya muda kidogo yule Paka akaanza kuja kwangu, akawa kwao haendi kabisaa anashinda na kulala kwenye baraza yangu, mwenye nyumba akahuzunika kama vile nimemteka Paka wake lakini haikuwezekana kumtoa , alipata Mimba akajifungua akaacha watoto kwao akawa anashinda kwangu tu, hadi nilipohama eneo hilo,

Nilipohamia napo nikakuta mpangaji mmoja ana Paka wake mzuri Maa shaa Allah, heeeh akaanza kuja kwangu, nikimpa chakula anakula lakini cha kwao hali, sikukaa sana hapo nikahama.

Hapa nilipohamia sasa hivi mmh, mwezi mmoja umepita kwa amani, sasa nikashangaa siku moja asubuhi naamshwa na sauti za Paka, nafungua mlango asalaleee nakuta vipaka vitatu vimejitandaza barazani kwangu havina habari, nikatoka wawili wakakimbia mmoja akabaki, sasa imekua utaratibu wao wapita nyumba zoote wanakuja kwangu kuweka kambi hawa nimesema siwapi chakula tuone kama wataishi,

Lakini nimejiuliza sana, kwanini Paka wananipenda na kunifata? Kuna nini nyuma ya pazia? Na hii sio tu kwa nyumba nilizoishi hata nyumba yoyote yenye Paka nikifika tu lazima anizoee au hata njiani nikikutana na Paka hawezi nikimbia atasimama na ku meow,

Nini hii jamani?

View attachment 1510235
Ukisikiabuna Roho ya paka Manake Una bahati, wewe Una roho ya paka yaani umewabeba sio ile mbaya
 
Habari zenu waungwana wa humu ndani,

Nina jambo lanitatiza sana, kila nikiishi pahali lazima nifatwe na Paka, yaani atokee Paka aweke kambi kwangu, nikianzia kwetu kwa wazazi alikuja kipaka kidogo nikawa nampa chakula baadae kikaanza kuingia ndani, haikua rahisi kwa wazazi kumpokea lakini baadae wakampokea, basi tuliishi nae hadi alipofariki, baadae kakaja kengine kadogo nikakachukua pia, alikulia pale, akazaa, akafariki akaacha mtoto akakua pale mimi niliondoka baadae akaja kufariki,

Nilipohamia, ile nyumba nilikuta wapangaji wawili na mimi nikawa watatu, baada ya wiki kadhaa tangu nihamie wakaja paka watatu, wakaanza kuweka kambi eneo langu, wenzangu waliwafukuza lakini haikufua dafu, walishangaa kabla hawakuwahi kufatwa na hao Paka, nikaamua tu niwe nawapa chakula, mpaka siku moja asubuhi Paka mmoja alifariki mbele ya macho yangu nahisi aliwekewa sumu, nikahama hilo eneo kwa sababu zangu sio kwa ajili ya Paka,

Nilipohamia napo akaja kipaka kidogo kikaanza mazoea na mimi, Mbwa walikua wanamsumbua nikawa namsaidia wasimguse na kumpa chakula pia, sikukaa sana eneo hilo nikahama kutoka wilaya moja kwenda nyingine,

Nyumba niliyohamia, mwenye nyumba aliishi eneo hilo pia,alikua anafuga Paka, baada ya muda kidogo yule Paka akaanza kuja kwangu, akawa kwao haendi kabisaa anashinda na kulala kwenye baraza yangu, mwenye nyumba akahuzunika kama vile nimemteka Paka wake lakini haikuwezekana kumtoa , alipata Mimba akajifungua akaacha watoto kwao akawa anashinda kwangu tu, hadi nilipohama eneo hilo,

Nilipohamia napo nikakuta mpangaji mmoja ana Paka wake mzuri Maa shaa Allah, heeeh akaanza kuja kwangu, nikimpa chakula anakula lakini cha kwao hali, sikukaa sana hapo nikahama.

Hapa nilipohamia sasa hivi mmh, mwezi mmoja umepita kwa amani, sasa nikashangaa siku moja asubuhi naamshwa na sauti za Paka, nafungua mlango asalaleee nakuta vipaka vitatu vimejitandaza barazani kwangu havina habari, nikatoka wawili wakakimbia mmoja akabaki, sasa imekua utaratibu wao wapita nyumba zoote wanakuja kwangu kuweka kambi hawa nimesema siwapi chakula tuone kama wataishi,

Lakini nimejiuliza sana, kwanini Paka wananipenda na kunifata? Kuna nini nyuma ya pazia? Na hii sio tu kwa nyumba nilizoishi hata nyumba yoyote yenye Paka nikifika tu lazima anizoee au hata njiani nikikutana na Paka hawezi nikimbia atasimama na ku meow,

Nini hii jamani?

View attachment 1510235
There's something about you, labda upo na high spiritual energy inayo attract hao viumbe, mimi pia kwa wanyama sio paka tu, hata kuku huwa wanapenda kuwa karibu nami. Najua wengi watacheka na kubisha ila kuna nishati isiyo onekana kwa macho ya nyama ila hao viumbe wanaweza kuisense haraka na kujua mawazo na malengo uliyonayo kumuhusu. So hata usishangae mummy! It's your energy.

Cha kufanya wewe endelea kuwa karibu nao, na kuoffer chakula kama kawaida.
 
There's something about you, labda upo na high spiritual energy inayo attract hao viumbe, mimi pia kwa wanyama sio paka tu, hata kuku huwa wanapenda kuwa karibu nami. Najua wengi watacheka na kubisha ila kuna nishati isiyo onekana kwa macho ya nyama ila hao viumbe wanaweza kuisense haraka na kujua mawazo na malengo uliyonayo kumuhusu. So hata usishangae mummy! It's your energy.

Cha kufanya wewe endelea kuwa karibu nao, na kuoffer chakula kama kawaida.
Una malengo Gani na kuku mkuu?kama wanauwezo wa kujua ndio maana wakiniona nduki!kuku nikimuona tu nawaza kidali😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom