Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Guru Guja

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
217
Reaction score
285
Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.

Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.

Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.
 
Asubui ya lewo nimekuta dukan dani kabusa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamuna kabisa seemu ya paka kuigia

Tumewatoa tukawatupa kenie mapipa ya takata ila tumepata abali jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia lewo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mutu mubaya sasa amemkomesa.

Nimesidwa elewa kabisa mausiano ayo yapoje yapoje.uyu mfania kaz wagu ni wa miaka migi sababu adi nimemnunulia gali dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
Hii Jilani ni nani?
 
Asubui ya lewo nimekuta dukan dani kabusa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamuna kabisa seemu ya paka kuigia

Tumewatoa tukawatupa kenie mapipa ya takata ila tumepata abali jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia lewo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mutu mubaya sasa amemkomesa.

Nimesidwa elewa kabisa mausiano ayo yapoje yapoje.uyu mfania kaz wagu ni wa miaka migi sababu adi nimemnunulia gali dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
Muadishi unasemaaa?
 
Asubui ya lewo nimekuta dukan dani kabusa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamuna kabisa seemu ya paka kuigia

Tumewatoa tukawatupa kenie mapipa ya takata ila tumepata abali jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia lewo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mutu mubaya sasa amemkomesa.

Nimesidwa elewa kabisa mausiano ayo yapoje yapoje.uyu mfania kaz wagu ni wa miaka migi sababu adi nimemnunulia gali dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
hii gilani ni mutu baya zsana
 
Asubui ya leo nimekuta dukani dani kabusa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamuna kabisa seemu ya paka kuigia

Tumewatoa tukawatupa kenie mapipa ya takata ila tumepata abali jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia lewo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mutu mubaya sasa amemkomesa.

Nimesidwa elewa kabisa mausiano ayo yapoje yapoje.uyu mfania kaz wagu ni wa miaka migi sababu adi nimemnunulia gali dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
Huu mwandiko umeandika kama unamafua makali yamekubana haswaa...
 
Back
Top Bottom