Guru Guja
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 217
- 285
Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.