Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ni kutoka Goma Mashariki ya DRCMuandishi atakuwa Mdosi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kutoka Goma Mashariki ya DRCMuandishi atakuwa Mdosi.
Anamaanisha umefirwa.amefiriwa [emoji849]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tena ulisahau, ungewachoma Hadi majivu, wanaweza kufufuliwa kichawi. Utasikia tu Kuna jirani alikuwa hoi ila kapata nafuu.
Gari linauhusiano gani na hii hadithi?!Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.
Heeeeeeeee makubuwa apo mpaka nimeshutuka sana kua wanawe wamekufa sitaki kuamini iko kitu aiseeee nitamuwogopa sanaWewe utakuwa Mkenya, ila sio tatizo karibu Tz. Sasa bwana kilichotokea ni kwamba huyo mfanyakazi wako anakupenda na anapenda biashara yako iendelee vizuri bila pingamizi. Yeye huyo mfanyakazi anajua umezungukwa na majirani wabaya na alichofanya ni kwenda kwa mganga wa kienyeji (witch-doctor) na kule amepewa dawa ya kuwatega wachawi wa duka lako. Wachawi walipokuja kwa umbo la paka, basi mtego ukawabaini na wakapigwa kichawi wakafa. Waliokufa actually sio paka, bali ni watu. Una jambo jingine?
Lile la mtoto AkoGari gani
Dukani pagu guo[emoji1][emoji1]Apana anauza tu apa apa dukan pagu guo auzi mishikaki
pole sana ndugu labda waliingia mkiwa bado amjafunga uwende huko walikotoka walikula sumu, kuhusu huyu mfanyakazi wako ulitakiwa kumuuliza yeye sio hapa jfAsubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.