Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Kilichonileta fasta ni huko kufiriwa. Akili ilienda kwingine kabisa.

Ila kanjibhai ungeandika hata English baadhi wangeelewa kuliko kufirisha watu wa watu 😀 😀 😀 😀
Apana mi sio kanjubai
 
Kufiriwa hili neno pia unampa utata msomaji kuwa unamaanisha jirani amefiwa? Au watu wake wameingiliwa kinyume na maumbile🙌🙌
Duuuuuh.....uko bali sana amefiriwa amepata musiba
 
Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.

Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.

Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.
Gari linauhusiano gani na hii hadithi?!
 
Wewe utakuwa Mkenya, ila sio tatizo karibu Tz. Sasa bwana kilichotokea ni kwamba huyo mfanyakazi wako anakupenda na anapenda biashara yako iendelee vizuri bila pingamizi. Yeye huyo mfanyakazi anajua umezungukwa na majirani wabaya na alichofanya ni kwenda kwa mganga wa kienyeji (witch-doctor) na kule amepewa dawa ya kuwatega wachawi wa duka lako. Wachawi walipokuja kwa umbo la paka, basi mtego ukawabaini na wakapigwa kichawi wakafa. Waliokufa actually sio paka, bali ni watu. Una jambo jingine?
Heeeeeeeee makubuwa apo mpaka nimeshutuka sana kua wanawe wamekufa sitaki kuamini iko kitu aiseeee nitamuwogopa sana
 
Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia.

Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo. Huyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mbaya sasa amemkomesha.

Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano hayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana.
pole sana ndugu labda waliingia mkiwa bado amjafunga uwende huko walikotoka walikula sumu, kuhusu huyu mfanyakazi wako ulitakiwa kumuuliza yeye sio hapa jf
 
Back
Top Bottom