Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiswahili ya Congo hiyoMuandishi atakuwa Mdosi.
Kwahyo ukiwa unaandika unakohoa na mwandiko unakohoaToka juzi na kihoozi
Dah mkuu jitahidi kuweka spelling vizuri habari nzuri ila nmechoka ghafla kuisomaAsubui ya leo nimekuta dukani dani kabusa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamuna kabisa seemu ya paka kuigia
Tumewatoa tukawatupa kenie mapipa ya takata ila tumepata abali jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia lewo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mutu mubaya sasa amemkomesa.
Nimesidwa elewa kabisa mausiano ayo yapoje yapoje.uyu mfania kaz wagu ni wa miaka migi sababu adi nimemnunulia gali dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
Wewe utakuwa Mkenya, ila sio tatizo karibu Tz. Sasa bwana kilichotokea ni kwamba huyo mfanyakazi wako anakupenda na anapenda biashara yako iendelee vizuri bila pingamizi. Yeye huyo mfanyakazi anajua umezungukwa na majirani wabaya na alichofanya ni kwenda kwa mganga wa kienyeji (witch-doctor) na kule amepewa dawa ya kuwatega wachawi wa duka lako. Wachawi walipokuja kwa umbo la paka, basi mtego ukawabaini na wakapigwa kichawi wakafa. Waliokufa actually sio paka, bali ni watu. Una jambo jingine?Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mubaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano ayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana
😂😂😂😂😂Kanjibai
Ulikwenda kwa mwamposa nini?Asubui ya leo nimekuta dukani ndani kabisa kuna paka wawili wamekufa na sijui walipoigilia sababu tumetafuta na wanafanakazi wagu hamna kabisa seemu ya paka kuigia
Tumewatoa tukawatupa kwenye mapipa ya takata ila tumepata habari jilani wa duka lagu amefiriwa watu wawil usiku wa kumuamkia leo uyu mfaniakazi wagu mmoja anasema ni muda tu alikuwa anajua jilani ni mtu mubaya sasa amemkomesha.
Nimeshidwa elewa kabisa mahusiano ayo yapoje yapoje. Huyu mfanyakazi wagu ni wa miaka mingi sababu hadi nimemnunulia gari dogo anapeda sana kazi yagu na muaminifu sijui kafania nini uyo jilani nimesagaa sana