Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Hivi Pembe za Panzi, Mbao za Mawe, Viatu vya Samaki aliendaga wapi?
 
Kilichonileta fasta ni huko kufiriwa. Akili ilienda kwingine kabisa.

Ila kanjibhai ungeandika hata English baadhi wangeelewa kuliko kufirisha watu wa watu πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
Dah mkuu jitahidi kuweka spelling vizuri habari nzuri ila nmechoka ghafla kuisoma
 
Kufiriwa hili neno pia unampa utata msomaji kuwa unamaanisha jirani amefiwa? Au watu wake wameingiliwa kinyume na maumbileπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Wewe utakuwa Mkenya, ila sio tatizo karibu Tz. Sasa bwana kilichotokea ni kwamba huyo mfanyakazi wako anakupenda na anapenda biashara yako iendelee vizuri bila pingamizi. Yeye huyo mfanyakazi anajua umezungukwa na majirani wabaya na alichofanya ni kwenda kwa mganga wa kienyeji (witch-doctor) na kule amepewa dawa ya kuwatega wachawi wa duka lako. Wachawi walipokuja kwa umbo la paka, basi mtego ukawabaini na wakapigwa kichawi wakafa. Waliokufa actually sio paka, bali ni watu. Una jambo jingine?
 
Tena ulisahau, ungewachoma Hadi majivu, wanaweza kufufuliwa kichawi. Utasikia tu Kuna jirani alikuwa hoi ila kapata nafuu.
 
Ulikwenda kwa mwamposa nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…