Paka wawili wamekufa dukani kwangu, jirani naye amefiwa

Kilichonileta fasta ni huko kufiriwa. Akili ilienda kwingine kabisa.

Ila kanjibhai ungeandika hata English baadhi wangeelewa kuliko kufirisha watu wa watu 😀 😀 😀 😀
Apana mi sio kanjubai
 
Kufiriwa hili neno pia unampa utata msomaji kuwa unamaanisha jirani amefiwa? Au watu wake wameingiliwa kinyume na maumbile🙌🙌
Duuuuuh.....uko bali sana amefiriwa amepata musiba
 
Gari linauhusiano gani na hii hadithi?!
 
Heeeeeeeee makubuwa apo mpaka nimeshutuka sana kua wanawe wamekufa sitaki kuamini iko kitu aiseeee nitamuwogopa sana
 
pole sana ndugu labda waliingia mkiwa bado amjafunga uwende huko walikotoka walikula sumu, kuhusu huyu mfanyakazi wako ulitakiwa kumuuliza yeye sio hapa jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…