- Thread starter
- #41
Kumbuka pia, CHADEMA ilishinda mijini pekee,Gamba liliishia kichwani mkuu halikutoka,
Ndipo ujue, CCM wakitumia vyema machinery zake kuanzia chini,
Bado wanaweza kushinda vita ya Uchaguzi, WAPINZANI wakalala na viatu kama walivyozoea,