tatizo ukienda Pakistan passport yako kupata visa kwenda Marekani na Ulaya inakuwa Shida.Toka Osama bin Laden akutwe kwao kwao imekuwa issue kubwa.Ndio maana wengi wana avoid sana Pakistan kuogopa passport zao kuwa blacklisted nchi za magharibi na marekaniUmemaliza mkuu yaani jamaa wana bidhaa nzuri sana sema hawatajwi kabisa
Hivyo viwanda nadhami vianzishwe huku huku Tanzania ili kupunguza gharama za usafiriWakuu
Pakistan hua hatuitaji kibiashara wala hata bidha zao hatuzitaji lakini kiuhakika jamaa kwa viwanda vidogo na vikubwa nao sio haba,
Bidhaa zao nyingi ni bora na za kiwango cha juu hivo ni muhimu sana kuelekeza macho nchi nyingine kama hizo,
Nadhani tusiendelee kukariri sehemu ya kuchukua bidhaa,
Hao jamaa hawana promo lakini siku watu wengi wakistuka watajua kumbe wanapoteza muda kwingine na machimbo bora yako pakistan, tusiwachukulie poa jamaa wako vizuri
Unapofanya biashara za kimataifa, kuna mambo mengi yakuyapitia. Sio kuanza tu kuagiza.
Dah kuna vifaa vya mazoezi nilinunua vimetengenezwa Pakistan aise vina ubora mpaka nikashangaa.
Hand made products ni tofauti na mashine madeDah kuna vifaa vya mazoezi nilinunua vimetengenezwa Pakistan aise vina ubora mpaka nikashangaa.
Hao jamaa hata kwenye Car Spare Parts wako vizuri tu nilishafanya nao biashara sana miaka ya 2010.
Nb: Sio kununulia Pakistan bali kwa wapakistan walio na maduka Dar.
Hand made products ni tofauti na mashine made
Viwanda vidogo vidogo unaweza anzisha hata wewe tatizo ni kushindana na wachina.Hivyo viwanda nadhami vianzishwe huku huku Tanzania ili kupunguza gharama za usafiri
Kuna meli niliona walinunua wakakata wakaenda tengeneza bu productsZinakuaga na ubora mkubwa sana
Mtanzania anapenda kitu quality kwa bei ndogo , ukimuuzia cha bei ndogo kibovu analalamika ukimuuzia cha bei kubwa lakini quality still analalamika beiViwanda vidogo vidogo unaweza anzisha hata wewe tatizo ni kushindana na wachina.
Utatengeneza ili uuze kwa 50,000 ila mchina atauza kwa 45,000 ubora mbovu ila Mtz ataona bora hiyo
Kweli kabisa. Hao jamaa wanajituma sana. Check hii page kwenye FacebookNi kweli kuwa Pakistan ina viwanda vingi, vidogo na vikubwa, na bidhaa nyingi kutoka Pakistan ni bora na za kiwango cha juu. Ni muhimu kwa nchi nyingine kutambua hilo na kuanza kuzingatia fursa za biashara na uwekezaji na Pakistan.
Kuna bidhaa nyingi kutoka Pakistan ambazo zinaweza kuvutia masoko ya kimataifa, kama vile nguo, vito vya thamani, ngozi, bidhaa za ngozi, vifaa vya michezo, madawa, na zaidi. Ni muhimu kwa wafanyabiashara kufanya utafiti na kuzingatia fursa za biashara na uwekezaji kutoka Pakistan.
Tunaweza kufanya kazi kwa karibu na serikali ya Pakistan na wafanyabiashara wake ili kukuza biashara ya pande zote. Kupitia ushirikiano huu, tunaweza kufikia mafanikio makubwa katika biashara na uwekezaji, na pia kukuza uhusiano mzuri kati ya nchi zetu mbili.
Ni sehemu moja risk pia madawa mengi ya kulevya hutokea PakistanSasa kama wamejifungia nani atawafata
Kule wapo Kitalebani sana hamna kitu , utaingia matatani tuuNi sehemu moja risk pia madawa mengi ya kulevya hutokea Pakistan
Mizigo ya kuagiza Pakistan kuna risk zake mziho waweza.kuwa na mixigo.mingine ndani ya mzigo husika mtu ukadakwa
Talebani wanatengenea sana mihadarati kama source kubwa ya income ya kuendesha serikali na harakati zao ni kama Alshabab Somalia ni wanategemea mauzo hasa ya mirungi nchi za njeKule wapo Kitalebani sana hamna kitu , utaingia matatani tuu
Kuna njia mbalimbali za kutangaza bidhaa za Pakistan, ikiwa ni pamoja na matangazo katika vyombo vya habari, mitandao ya kijamii, maonyesho ya biashara na uuzaji mkondoni.
Ili kuagiza bidhaa kutoka Pakistan, unaweza kutumia mtandao wa intaneti na kutafuta wauzaji au wasambazaji wa bidhaa hizo. Pia unaweza kufikiria kutumia huduma za makampuni ya usafirishaji mizigo au wasafirishaji wa kibinafsi ambao wanaweza kukusaidia kuagiza bidhaa kutoka Pakistan. Ni muhimu kuhakikisha kuwa unafanya biashara na wauzaji wa kuaminika na wanaofuata taratibu na sheria za biashara.
Kuna njia kadhaa ambazo unaweza kutumia kununua vitu kutoka Pakistan ikiwa upo Tanzania.Maelezo yako bado hayajajitosheleza yaan unasema pakistan kuna hili na lile alf hujui hata specific way ya kununua vitu.
Tungekuwa twataka quality tusingenunua vitu vya mafungu KKOOMtanzania anapenda kitu quality kwa bei ndogo , ukimuuzia cha bei ndogo kibovu analalamika ukimuuzia cha bei kubwa lakini quality still analalamika bei