Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
We kiazi MTU asiyekukosoa ndiyo rafiki wakweli???alafu unaezakuta umesoma mpaka lasaba bado unawaza kama mtoto wa lapili
 
Hao pia ndo maadui wa taifa kwenye huu ulimwengu wa kidijitali .wasomi wajinga ambao hawajawahi tokea Tanzania.

Mama anawachabo,afu wewe unakurupuka kuja na utoporo wako kuwachongea.ungejua hawataki hats kutajwatajwa kwenye ulimwengu wa DIGITAL
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Je, ipo dhambi?
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Wamseme kwa kosa lipi?

daah, hii ndio Bongo ya watu wanafiki na ujinga mwingiii...!!
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Mungu fundi sana hakukosea kumuondoa mchato
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Pole SANA kwa kumuotea ndoto, mzee wa msg za UMEAPA VIZURI.😂

Mwendazake alishamtia Gundu, alisema hawezi kuwa raisi.

Amalizie uPM, apishe wengine wale cake ya taifa.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Mkuu umemsahau jambazi Sabaya.
1624468447669.png
 
Kwa mujibu wa kikwete, wakati wa Urais wake (kikwete) ,hakuna kiongozi yeyote alikuwa ana utani na rais isipokuwa magufuli tu ndio alikuwa na uwezo wa kumtania Rais
Mfano huu ambao nimeutoa kwenye hotuba ya Kikwete unaonesha mamlaka ya Rais wa Tanzania yalivo makubwa, hivo basi, hao uliowataja wasingekuwa na uwezo wa kumkosoa wala kumrekebisha Rais.

..Joseph Warioba akiwa AG alim-face Mwalimu Nyerere kwasababu Mwalimu aliteua RC aliyehukumiwa na mahakama ya rufaa kutoshiriki siasa kwa miaka 10.

..Warioba hakufanikiwa kumshawishi Mwalimu kutengua uteuzi aliokuwa ameufanya.

..Kwasababu hiyo Warioba akaenda kwa Waziri Mkuu Edward Sokoine kumueleza " mgogoro " wake na Rais Mwalimu Nyerere.

..Sokoine naye akamfuata Mwalimu Nyerere kumuelezea suala lilelile aliloelezwa na Warioba. Matokeo yake Mwalimu Nyerere akatengua uteuzi wa RC.

..Raisi ni BINADAMU na anaweza kukosea. Hivyo ni muhimu awe na wasaidizi wenye MAADILI wanaoweza kumpa ushauri mzuri wenye manufaa kwa taifa.
 
Ndo kashaondoka ..hawezi kurudi tena yupo na hao aliowatanguliza kina Ben.

ok kwa hawa mabwana wawili hawana namna tena!! ile falsaha yao ya kubumba ya mabeberu haipo tena, habari ya town sasa ni Katiba mpya!!

Wajirudi tu hawana jinsi, Maisha yanakwenda kwa kasi sana...nani angelitabiri haya miezi 5 iliyopita??
Na hata wewe huwezi kutabiri ya kwako!
 
..Joseph Warioba akiwa AG alim-face Mwalimu Nyerere kwasababu Mwalimu aliteua RC aliyehukumiwa na mahakama ya rufaa kutoshiriki siasa kwa miaka 10.

..Warioba hakufanikiwa kumshawishi Mwalimu kutengua uteuzi aliokuwa ameufanya.

..Kwasababu hiyo Warioba akaenda kwa Waziri Mkuu Edward Sokoine kumueleza " mgogoro " wake na Rais Mwalimu Nyerere.

..Sokoine naye akamfuata Mwalimu Nyerere kumuelezea suala lilelile aliloelezwa na Warioba. Matokeo yake Mwalimu Nyerere akatengua uteuzi wa RC.

..Raisi ni BINADAMU na anaweza kukosea. Hivyo ni muhimu awe na wasaidizi wenye MAADILI wanaoweza kumpa ushauri mzuri wenye manufaa kwa taifa.
Mkuu kwanza kabisa Ahsante kwa kunifahamisha hilo, ulichosema ni sahihi. Lakini sidhani kama John alikuwa anashaurika
 
Unadhan jalalan kuzur?????
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
 
Kabudi, Bashiru na Polepole wote wanapumulia mashine kwa kukoswa koswa na panga la Samia!
Mungu yuko upande wao, ni wachapa kazi wa kweli na wazalendo wa kweli. Ni majembe ya mama! Mama anajivunia majembe haya. Mama tunza hayo majembe na hayatakuangusha
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.


Aendelee kupumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli 🙏
 
Nan????Huyu alieudanganya umma ndani ya nyumba ya ibada???????
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Wimbo wao wa mabeberu hawana pa kuuimbia tena,wamebaki na aaibu zao tu kwa ujinga na unafiki wao
 
Thubutu!!!!na ule ubunge wa dezo?????
mkuu hiyo kitaalamu tunaita ukomavu wa fikra.

wao wameamua kutokuwa wanafiki akiwemo na pole pole,bila kijali team taarabu inasemaje.ila wanasimamia msimamo wao na mwendazake kwamba hawakukurupuka kuamua chochote,hata wakiulizwa leo majibu yatakuwa yale yale juu ya jambo lolote waliloamua wakiwa na jamaa yao.
 
Back
Top Bottom