Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Angalia mambo ya gambo bungeni anauliza mbuga ya chato iimeingiza pato gani kwa taifa ! Ni sawa upande miwa halafu baada ya wiki uulize kipato cha miwa hiyo wakati bado hujaanza kuvuna!
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Wasaliti wa umma wa Watanzania kwa kutetea matumbo Yao. Walaaniwe na huyo wanayemtani awe Mungu. Mh. Mungu....huyo Ni Kabudi mpuuzi mkubwa
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Wana chembe za udikteta na kujiona miungu walirithi kwa boss wao tuwe makini na generation ya Magufuli
Huwenda tunarudia makosa tena

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kwa mujibu wa kikwete, wakati wa Urais wake (kikwete) ,hakuna kiongozi yeyote alikuwa ana utani na rais isipokuwa magufuli tu ndio alikuwa na uwezo wa kumtania Rais
Mfano huu ambao nimeutoa kwenye hotuba ya Kikwete unaonesha mamlaka ya Rais wa Tanzania yalivo makubwa, hivo basi, hao uliowataja wasingekuwa na uwezo wa kumkosoa wala kumrekebisha Rais.
Na JPM alimtania Kikwete kwa ule utani wa mkwere na msukuma.
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Anafaa Sana uyu mwana Ruangwa CCM wampe rungu 2025.nilimuona alipoenda wizara ya fedha pale kwa Yale madudu aliyoyakuta alitamani aondoke nao wale.
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Ni watu wasaliti wa fani zao zilizowapa umaarufu kabla hata Mwendazake hajawafahamu. Kiufupi KABUDI na Bashuru ni BOOTLICKERS
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Toa ujinga wako, 2025 ni Mama tena. Hao wafikirie labda 2030 na kuendelea.
 
..Joseph Warioba akiwa AG alim-face Mwalimu Nyerere kwasababu Mwalimu aliteua RC aliyehukumiwa na mahakama ya rufaa kutoshiriki siasa kwa miaka 10.

..Warioba hakufanikiwa kumshawishi Mwalimu kutengua uteuzi aliokuwa ameufanya.

..Kwasababu hiyo Warioba akaenda kwa Waziri Mkuu Edward Sokoine kumueleza " mgogoro " wake na Rais Mwalimu Nyerere.

..Sokoine naye akamfuata Mwalimu Nyerere kumuelezea suala lilelile aliloelezwa na Warioba. Matokeo yake Mwalimu Nyerere akatengua uteuzi wa RC.

..Raisi ni BINADAMU na anaweza kukosea. Hivyo ni muhimu awe na wasaidizi wenye MAADILI wanaoweza kumpa ushauri mzuri wenye manufaa kwa taifa.
Warioba Kama alifanya ivyo hizo ndo tunaziita "chuki binafsi " uku kwetu .
 
Hao ni Bush Men wenzake na ndiyo walishiriki kumshauri vibaya mpaka akatumbukia shimoni.

Nisaidie kumuuliza Palamagamba, iko wapi ile alkasusu aliyoifata Madagascar tena kwa kutumia ndege ya nchi ??
 
Kabudi, Bashiru na Polepole wote wanapumulia mashine kwa kukoswa koswa na panga la Samia!
Waliotaka kuleta machafuko nyau hao. Likatiba bovu wamelikumbatia wenyewe walitaka tena walipindishe.
 
Back
Top Bottom