Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemsikia pole pole juzi,au unadhani naandika tu!!!Thubutu!!!!na ule ubunge wa dezo?????
hii iliyopo ni ya nani??
mwendazake kakuta katiba ipo tayari kama ugari,Ya mwendazake
Wasaliti wa umma wa Watanzania kwa kutetea matumbo Yao. Walaaniwe na huyo wanayemtani awe Mungu. Mh. Mungu....huyo Ni Kabudi mpuuzi mkubwaHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Mungu yuko upande wao, ni wachapa kazi wa kweli na wazalendo wa kweli. Ni majembe ya mama! Mama anajivunia majembe haya. Mama tunza hayo majembe na hayatakuangusha
Wana chembe za udikteta na kujiona miungu walirithi kwa boss wao tuwe makini na generation ya MagufuliCCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Aendelee kupumzika kwa amani kipenzi chetu John Pombe Magufuli [emoji120]
umemsikia pole pole juzi,au unadhani naandika tu!!!
Na JPM alimtania Kikwete kwa ule utani wa mkwere na msukuma.Kwa mujibu wa kikwete, wakati wa Urais wake (kikwete) ,hakuna kiongozi yeyote alikuwa ana utani na rais isipokuwa magufuli tu ndio alikuwa na uwezo wa kumtania Rais
Mfano huu ambao nimeutoa kwenye hotuba ya Kikwete unaonesha mamlaka ya Rais wa Tanzania yalivo makubwa, hivo basi, hao uliowataja wasingekuwa na uwezo wa kumkosoa wala kumrekebisha Rais.
Anafaa Sana uyu mwana Ruangwa CCM wampe rungu 2025.nilimuona alipoenda wizara ya fedha pale kwa Yale madudu aliyoyakuta alitamani aondoke nao wale.CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Ni watu wasaliti wa fani zao zilizowapa umaarufu kabla hata Mwendazake hajawafahamu. Kiufupi KABUDI na Bashuru ni BOOTLICKERSHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Toa ujinga wako, 2025 ni Mama tena. Hao wafikirie labda 2030 na kuendelea.CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Ila uyu dogo mnamsagia kunguni sana aisee.muacheni mahakama ufanye kazi yakeHuyo ndiye alikuwa right hand man wa mzee baba.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Jambazi mbobevu [emoji23][emoji23][emoji23]Jambazi sugu??! [emoji32]
Warioba Kama alifanya ivyo hizo ndo tunaziita "chuki binafsi " uku kwetu ...Joseph Warioba akiwa AG alim-face Mwalimu Nyerere kwasababu Mwalimu aliteua RC aliyehukumiwa na mahakama ya rufaa kutoshiriki siasa kwa miaka 10.
..Warioba hakufanikiwa kumshawishi Mwalimu kutengua uteuzi aliokuwa ameufanya.
..Kwasababu hiyo Warioba akaenda kwa Waziri Mkuu Edward Sokoine kumueleza " mgogoro " wake na Rais Mwalimu Nyerere.
..Sokoine naye akamfuata Mwalimu Nyerere kumuelezea suala lilelile aliloelezwa na Warioba. Matokeo yake Mwalimu Nyerere akatengua uteuzi wa RC.
..Raisi ni BINADAMU na anaweza kukosea. Hivyo ni muhimu awe na wasaidizi wenye MAADILI wanaoweza kumpa ushauri mzuri wenye manufaa kwa taifa.
Waliotaka kuleta machafuko nyau hao. Likatiba bovu wamelikumbatia wenyewe walitaka tena walipindishe.Kabudi, Bashiru na Polepole wote wanapumulia mashine kwa kukoswa koswa na panga la Samia!