Warioba Kama alifanya ivyo hizo ndo tunaziita "chuki binafsi " uku kwetu .
..sio chuki binafsi.
..Rais angeonekana ameidharau mahakama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warioba Kama alifanya ivyo hizo ndo tunaziita "chuki binafsi " uku kwetu .
Matapeli wa kisiasa!Mungu yuko upande wao, ni wachapa kazi wa kweli na wazalendo wa kweli. Ni majembe ya mama! Mama anajivunia majembe haya. Mama tunza hayo majembe na hayatakuangusha
Pole mjane
Wote watapukutika kama majani ya kiangazi!Waliotaka kuleta machafuko nyau hao. Likatiba bovu wamelikumbatia wenyewe walitaka tena walipindishe.
Laiti ungejua usingeandika hayo uliyoyaandika.Huo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
kama msomi kama bashiru hawezi,sijui mbowe atafit wapi!!!Bashiru mpuuzi sana huwezi amini .....mnafiki mno eti yeye awe President nyokooo kabisa tamaa madaraka
Na Polepole piaHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Sema wapumbavu wenzio, ila wenye akili wanajua wanachoongeaHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
kuna usaliti upi tena zaidi ya kuhamisha hela BOT kwa kisingizio cha kutibu aliyekufa ?Huo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Asante uliyeachika
Najua ni hasira za wivu ila usingeachwa ungukua eda
Sisi tunachojua dhalim hayupo tena dunianiHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
pole mama D,imepenya hyo endeleen kuweweseka ila yule kiumbe hatorud tena
Usijali hata wewe utaenda na hutorudi ila tofauti ni kwamba hakutakua na wanaokuwewesekea