mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Unataka mpk ww ujue????hata Hitler anatajwa kila kukicha co hvyo hata iblis pia hutajwa kila kukicha
Wewe ndio huyo iblis unayemtaja mbaya zaidi ya Hitler. Maneno yako ni kama tone la sukari kwenye bahari
Relax ukiju JPM ataendelea kubaki juu kama shujaa, Rais wa karne kwa dunia hii