Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Ndo kashaondoka ..hawezi kurudi tena yupo na hao aliowatanguliza kina Ben.

ok kwa hawa mabwana wawili hawana namna tena!! ile falsaha yao ya kubumba ya mabeberu haipo tena, habari ya town sasa ni Katiba mpya!!

Wajirudi tu hawana jinsi, Maisha yanakwenda kwa kasi sana...nani angelitabiri haya miezi 5 iliyopita??
Katiba mpya nayo siyo agenda kwa sasa kwa sababu mchakato ulishakamilika imebaki kupigia kura
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Nadhani ni kwakuwa aliwaokota jalalani.
 
Watanzania Kwa wingi wao nahsi hata we ukiwemo ni wabafiki by nature hij haikwepeki na utafiti unasema
 
tupo kwenye zama saaafi kabisaaa
mtu unajiona fahari kuishi bongoland
hakuna vitisho wala mikwaraa
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Hao ni kunguni wa dhalim
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Aliwatoa jalalani
 
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchi😂😂😂😂😂
Tena leo ukome kama Magufuri alivyokoma urais 17.03.2021 na ujinga wake.
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Mdanganyifu alijiharibia sifa aliposema kiongozi yupo ofisini anachapa kazi kumbe anaumwa
Kiongozi anapaswa kuwa na kifua, sio kila jambo lianikwe tu hadhari. Ndio maana baada ya Mambo mengine kukaa sawa walitangaza.
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
SIO marafiki , hawa walikuwa NDIO MHESHIMIWA , NDIO MHESHIMIWA
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.

Kiongozi anapaswa kuwa na kifua, sio kila jambo lianikwe tu hadhari. Ndio maana baada ya Mambo mengine kukaa sawa walitangaza.
Ataambiwa kama walivyoambiwa Lukuvi na Kabudi na Mwendazake
 
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchií ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchií ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
atabaki kuwa juu? juu wapi?
hebu kuwa serious bana hii ni awamu ya sita,kishindo cha awamu ya tano kilishajifia na tukazika

sasahv roho swafi kabisa hakuna cha serikali ya magufuli sasa,pambaneni kivingine.
 
Huo ndiyo ukweli.

Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.

Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.

Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.

RiP JPM.
Aliwaokota Majalalani
 
Back
Top Bottom