Palamagamba Kabudi na Bashir Ally ndio marafiki kweli wa mzee Hayati Magufuli

Katiba mpya nayo siyo agenda kwa sasa kwa sababu mchakato ulishakamilika imebaki kupigia kura
 
Nadhani ni kwakuwa aliwaokota jalalani.
 
Watanzania Kwa wingi wao nahsi hata we ukiwemo ni wabafiki by nature hij haikwepeki na utafiti unasema
 
tupo kwenye zama saaafi kabisaaa
mtu unajiona fahari kuishi bongoland
hakuna vitisho wala mikwaraa
 
Hao ni kunguni wa dhalim
 
Aliwatoa jalalani
 
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchi😂😂😂😂😂
Tena leo ukome kama Magufuri alivyokoma urais 17.03.2021 na ujinga wake.
 
CCM wengi ni wanafiki wakubwa mno na walafi wasio na huruma na nchi hii. Wachache waliobaki ni pamoja na Majaliwa KAssim. Kuna haha ya kumfikiria huyu kuwa RAIS mwaka 2025.
Mdanganyifu alijiharibia sifa aliposema kiongozi yupo ofisini anachapa kazi kumbe anaumwa
Kiongozi anapaswa kuwa na kifua, sio kila jambo lianikwe tu hadhari. Ndio maana baada ya Mambo mengine kukaa sawa walitangaza.
 
SIO marafiki , hawa walikuwa NDIO MHESHIMIWA , NDIO MHESHIMIWA
 
Ataambiwa kama walivyoambiwa Lukuvi na Kabudi na Mwendazake
 
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchií ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Asilimia 16% wapumbavu wenzio ndio mnaoteseka huku kwenye mitandao wakati 84% kila siku wanamkumbuka kwa wema

JPM atabaki kuwa juu, hutaki hama nchií ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸í ½í¸
atabaki kuwa juu? juu wapi?
hebu kuwa serious bana hii ni awamu ya sita,kishindo cha awamu ya tano kilishajifia na tukazika

sasahv roho swafi kabisa hakuna cha serikali ya magufuli sasa,pambaneni kivingine.
 
Aliwaokota Majalalani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…