Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walidhani Magufuli alikuwa Mungu.Huo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Mwana ccm sio wa kumwaminiHuo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Huo ndiyo ukweli.
Hawajawahi kumkosoa popote ama kutamka lolote tokea afariki.
Wazee wa watu wapo kimya wakiugulia maumivu ya wasaliti wengine na hakika wanamuenzi kiongozi wao kwa kweli ya nafsi.
Polepole pia ni mmoja wao naye yupo kimya huku mara moja moja akitetea sera za JPM.
RiP JPM.
Unaona mnavyoumbuliwa Lissu pamoja na wengine 394 kutoka Ofisi ya pumbavu Ndugai watalipwa hela waliyodhulumiwa na hiyo ofisi,je mimi sijui maana kama ulivyoongea?Kama wewe usiyejua maana
Mungu ni mwema Ameliua DICTATOR UCHWARA.Mwisho wa siku muda umewatenga wakweli na wanafiki.